WASANII WAPAMBA TAMASHA LA BIBI TITI, DKT. ABBASI ASHIRIKI

Na John Mapepele WASANII wa Tanzania wamepamba ufunguzi wa msimu wa nne wa Tamasha la Bibi Titi Mohamed usiku wa kuamkia leo huku Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dkt Hassi Abbasi akihudhuria. Awali, Serikali ilisisitiza kufungamanisha matamasha mbalimbali ya utamaduni na Utalii ili kuongeza mapato hatokanayo Utalii. Miongoni mwa wasanii waliowapagawisha wakazi wa viunga…

Read More

Chino kuizindua Sumu EP nyumbani kwao Ifakara Morogoro

Siku ya leo msanii Chinno ametangaza kurejea nyumbani kwao Ifakara Morogoro ambapo atarejea maalum kwaajili ya uzinduzi EP yake ambayo ameipa jina la Sumu ambayo itakua na jumla ya nyimbo sita pamoja na bonus track Chinno amesema hatoenda peke ake Morogoro anatarajia uwepo wa wasanii wakubwa ambao ni kaka zake akiwemo Marioo kwenda kumsupport kwani…

Read More

Maonyesho ya historia ya Tanzania yazinduliwa Berlin – DW – 03.12.2024

Tanzania na Ujerumani zimekuwa na historia kubwa inayoanzia enzi za ukoloni wakati ilipokuwa sehemu ya koloni la wajerumani na kufahamika kama “Ujerumani ya Afrika Mashariki.” Historia hiyo hata hivyo imejaa machungu kutokana na alama ya ukoloni iliyoachwa na Wajerumani waliowakandamiza wenyeji na kuwatesa wakati wa utawala wao. Soma pia: Ujerumani yawaomba radhi Watanzania kwa madhila ya…

Read More