Mtihani wa kwanza kwa Nswanzurimo Singida BS

KIKOSI cha Singida Black Stars kesho kitakuwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kupambana dhidi ya Azam FC, huku kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Ramadhan Nswanzurimo akianza kibarua cha kwanza. Nswanzurimo alitangazwa Novemba 25 mwaka huu kuiongoza timu hiyo baada ya Kocha Mkuu, Patrick Aussems na…

Read More

Wasanii wa vichekesho watawala Kwa Mkapa

IKIWA imesalia saa Moja kabla ya kuanza kwa mchezo wa Kombe la shirikisho kati ya Simba dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, wasanii mbalimbali wa vichekesho tayari wameshawasili uwanjani hapa. Wasanii hao ambao baadhi wamevalia jezi za Simba ni pamoja na Asma Majeed, Mwaisa, Oka Martin na Carpoza. Mbali ya hao pia yupo muigizaji…

Read More

Dk. Biteko: Geita msiniangushe, msiiangushe CCM

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wananchi wa Geita kujitokeza wa wingi kesho na kuchagua wagombea wa CCM. Amewahimiza wananchi hao kuendelea kumuunga mkono  yeye na CCM ili kutoa…

Read More

MASTAA KIBAO ALBAMU MPYA YA ERIC BELLINGER

NA JOSEPH SHALUWA ALBAMU mpya ya staa wa muziki nchini Nigeria, Eric Bellinger inayokwenda kwa jina la ‘It’ll All Make Sense Later’ imewashirikisha mastaa kibao akiwemo Burna Boy ambaye ana Tuzo ya Muziki ya Grammy. Mastaa wengine walioshirikishwa kwenye albamu hiyo ni pamoja na mkali wa RnB kutoka Ghana, Gyakie na mastaa wengine kutoka Nigeria…

Read More

Dk. Biteko: Geita msiniangueshe, msiiangushe CCM

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wananchi wa Geita kujitokeza wa wingi kesho na kuchagua wagombea wa CCM. Amewahimiza wananchi hao kuendelea kumuunga mkono  yeye na CCM ili kutoa…

Read More

DEEJAY VAL AACHIA DUDE JIPYA MJINI

 DJ na Mwanamuziki anayekuja kwa kasi Deejay Val kutoka nchini Nigeria, amedondosha wimbo mpya uitwao LEKKI BADDIE, unaopatikana kwenye EP yake mpya iitwayo FUSION yenye jumla ya ngoma tano. Deejay Val amefanyia  remix wimbo huo na wasanii mbalimbali wa Afrika na anaelekea kuteka soko barani Afrika na Ulaya  Valentine Ejimbe, maarufu kama Deejay Val, anatoka…

Read More