50 BORA KUZINDULIWA SIKU YA EID PILI
DENIS MLOWE, IRINGA Baada ya kuhairishwa uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Vunja bei Machi 19 sasa rasmi ku,zinduliwa Eid Pili (April 2) katika kiwanja cha Kalenga kilichoko wilaya ya Iringa vijijini mkoani hapa huku uzinduzi huo ukisindikizwa wasanii maarufu kutoka jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa ya uzinduzi huo msemaji wa kampuni ya Vunja…