DEEJAY VAL AACHIA DUDE JIPYA MJINI

 DJ na Mwanamuziki anayekuja kwa kasi Deejay Val kutoka nchini Nigeria, amedondosha wimbo mpya uitwao LEKKI BADDIE, unaopatikana kwenye EP yake mpya iitwayo FUSION yenye jumla ya ngoma tano. Deejay Val amefanyia  remix wimbo huo na wasanii mbalimbali wa Afrika na anaelekea kuteka soko barani Afrika na Ulaya  Valentine Ejimbe, maarufu kama Deejay Val, anatoka…

Read More

Wasanii wa Muziki nchini wanahitaji elimu ya uwekezaji ili iwasaidie kutumia vizuri vipato vyao

Mkuu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi iliyowakutanisha  wadau mbalimbali wa muziki kwa lengo la kujadili masuala tofauti tofauti yanayohusiana na muzikin katika hafla iliyoandaliwa na Mdundo.Com.Mkurugenzi Mkazi-Tanzania wa Mdundo.com, Maureen Njeri akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi…

Read More

Simulizi ya kijana mwenye ulemavu anayepambana na maisha kupitia Sanaa

Handeni. Ulemavu haujamzuia kijana huyu kuzifikia ndoto zake. Kwake, umeibua fursa mpya za kumwezesha kuendesha maisha yake bila kumtegemea mtu, tofauti na baadhi ya wengine wenye changamoto kama zake wanaoomba msaada barabarani. Athuman Mhina (24), mkazi wa Handeni, mkoani Tanga, amejijengea umaarufu kupitia kipaji chake cha sanaa, hasa kucheza, ambapo amekuwa kivutio kwenye shughuli mbalimbali…

Read More

Tantrade Yazindua Shindano la Logo Itakayotambulisha Bidhaa nje

Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamMAMLAKA ya Maendeleo ua Biashara Tanzania (TANTRADE) imezindua shindano la ubunifu wa logo ya ‘Made in Tanzania’ ambapo kazi za wasanii mbalimbali zitashindanishwa kwa lengo la kupata nembo ambayo itaitambulisha Tanzania katika bidhaa mbalimbali hasa zinasafirishwa nje ya nchi. Akizungumza leo Novemba 20, 2024 Mkurugenzi wa Mkuu wa Tantrade Latifa Khamis…

Read More