Hekaya za Mlevi: Sasa imbeni “miskanka mishisha”…

Dar es Salaam. Waswahili waliposema “Pombe siyo maji” hawakukosea hata kidogo. Ilitokea siku moja tukitayarisha mazishi ya rafiki yetu aliyetutoka siku moja kabla. Tukaliandaa kaburi kwa jinsi ilivyotakiwa, lakini tukiwa njiani kurudi msibani tukakiona kivuli. Tukaona si vibaya tukapate moja mbili za kutoa uchovu pamoja na kupunguza makali ya msiba. Tulikuwa kadiri ya watu sita tukiongozana…

Read More

Rais Samia amlilia King Kikii

 Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kutokana na kifo cha mkongwe wa muziki wa dansi, Boniface Kikumbi ‘King Kikii’ na kusema nguli huyo atakumbukwa na kuenziwa kwa kazi zake nyingi nzuri ikiwamo wimbo wa kitambaa cheupe. Amesema King Kikii ametoa burudani kwa mamilioni ya Watanzania…

Read More

TAMTHILIA YA NICE TO MEET YOU YAWAKUTANISHA HEMED NA LULU DIVA

Na Mwandishi wetu TAMTHILIA ya ‘Nice to Meet you’ inayowakutanisha waigizaji Lulu Abas ‘Lulu Diva’ na Hemed Suleiman ‘Hemed ‘PHD’ wenye uhasama kuzinduliwa rasmi Novemba 18, mwaka huu. Wawili hao inasemekana walianza tofauti zao tangu walipokuwa lokesheni wakirekodi Tamthilia hiyo iliyowahusisha na ugomvi wao kuendelea hadi kwenye maisha yao ya kawaida. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Stamina aachia Album yake mpya ‘Msanii bora wa Hip Hop’

Ikiwa Leo November 14, 2024, Mkali kutokea Hip Hop, Stamina anasherehekea siku yake ya kuzaliwa sasa ameamua Pia kuachia Album yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Msanii bora wa Hip Hop’ Album hiyo ina nyimbo 17 huku amewashirikisha wasaniii akiwemo Linah, Kusah, Ferouz, Dully Sykes, Stars Thomas, Mwasiti na wengineo. Unaweza ukabonyeza hapa link>>> https://www.boomplay.com/embed/100940449/COL…

Read More

Infinix yazindua simu ya  HOT 50 Pro+ nchini Tanzania

Ukurasa mpya wa Simu Mahiri Nyembamba, Imara, na Zenye Utendaji Bora Wakati BillNass na Wasanii kibao wakilipamba Jukwaa Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Infinix mobile, kampuni ya teknolojia ya kimataifa inayoongoza na inayoibuka kwa kasi, hatimaye imezindua Mfululizo wa HOT 50, vifaa vya simu mahiri ambavyo ni hatua muhimu katika mageuzi ya simu mahiri nchini…

Read More

Infinix yazindua simu ya HOT 50 Pro+ nchini Tanzania

  INFINIX mobile, kampuni ya teknolojia ya kimataifa inayoongoza na inayoibuka kwa kasi, hatimaye imezindua Mfululizo wa HOT 50, vifaa vya simu mahiri ambavyo ni hatua muhimu katika mageuzi ya simu mahiri nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Uzinduzi huu uliotarajiwa kwa hamu kubwa, ulioambatana na uimbaji wa kusisimua kutoka kwa…

Read More

Wazee miaka 60 kupamba bonanza la michezo MZRH

HOSPITALI ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) imeandaa bonanza la michezo mbalimbali itakayopambwa na wazee wenye umri wa miaka 60  kufukuza kuku na kuvuta kamba. Bonanza hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 9 mwaka huu kwenye Viwanja vya Chuo cha Uhasibu (TIA) ikiwa ni kuadhimisha wiki ya upimaji wa  magonjwa yasiyoambukizwa. Katibu wa mashindano hayo, Joyce Komba…

Read More