MAKAMU MWENYEKITI SHIWATA SULEIMAN KISSOKI AFARIKI DUNIA ,AZIKWA DAR

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Suleiman Kissoki amefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mwandishi wa habari , Katibu Mkuu wa Shiwata, Michael Kagondela amesema hadi jana jioni, Kissoki alikuwa ofisini Ilala Bungoni akiendelea na majukumu yake. Kagondela amesema  marehemu huyo…

Read More

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUCHANGIZA URITHI WA UTAMADUNI USIOSHIKIKA KUCHOCHEA AJIRA KWA WANAWAKE NA VIJANA

Na Mwandishi Wetu, Mpanda Waandishi wa Habari wa redio jamii Mkoani Katavi wametakiwa kuchagiza urithi wa utamaduni usioshikika ili kuchochea fursa za ajira kwa Wanawake na vijana. Carol Steven, Afisa Michezo, Utamaduni na Vijana Mkoani Katavi ametoa wito huu leo wakati wa mafunzo kwa waandishi wa habari wa redio jamii Mkoani humo. Mafunzo hayo yameandaliwa…

Read More

Vijana wa Kitanzania Kuwezeshwa kupitia Vodacom Youth Base (VYB), kuongeza fursa katika za kidijitali. – MWANAHARAKATI MZALENDO

Meneja wa Bei na Bidhaa kutoka Vodacom Tanzania, Ipyana Mwankemwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya VYB Balaa! Mtu ni Connection! ambapo vijana wenye umri kati ya miaka 15 mpaka 28 wanapata nafasi ya kufaidika na vifurushi mbalimbali kutoka mtandao huo. Uzinduzi huu uliopambwa na burudani kemkem ulifanyika tarehe 24 Oktoba 2024 Don Bosco…

Read More

UZINDUZI WA “AMAZING TANZANIA” WATIA FORA, DKT. ABBASI AELEZA TAMU NA CHUNGU ZA “LOCATION” NA MARAIS WA NCHI

Hatimaye Filamu ya kuitangaza nchi Uchina ya “Amazing Tanzania” iliyomshirikisha Rais Samia Suluhu Hassan, Dr. Hussein Mwinyi na msanii Jin Dong kutoka China, imezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo Waziri wa Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amemwakilisha Rais Samia huku Serikali ya Uchina chini ya Rais Xi Jinping ikiwakilishwa na Naibu…

Read More

Kutoweka bosi Dar24 kwaibua kilio

Dar es Salaam. Kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa Mkurugenzi wa Dar24 Media, Maclean Mwaijonga kumeongeza kilio cha kuongezwa kazi ya uchunguzi wa matukio ya watu kupotea au kutekwa nchini. Mwaijonga alitoweka Alhamisi Oktoba 31, 2024 alipotoka ofisi za Datavision International Ltd, zilizopo Mikocheni jirani na Rose Garden saa 11:00 jioni na hadi leo hajaonekana….

Read More

Baba wa aliyechoma picha ya Rais aiangukia Serikali

Mbeya. Ikiwa imepita miezi miwili tangu kutoweka kwa msanii wa uchoraji, Shadrack Chaula (24), baba yake mzazi, Yusuph Chaula (56) ameiomba Serikali kufanya uchunguzi wa kina kujua aliko mwanaye. Mzee Chaula amesema tangu kutoweka kwa kijana wake kama familia wanaishi matumbo moto, huku jitihada za za kumtafuta zikiendelea bila mafanikio. Shadrack alitoweka baada ya kuchukuliwa…

Read More

Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, atua Tanzania kwa huduma ya Uimbaji

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, anayefahamika kwa wimbo wake maarufu Nina Siri, amewasili nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma katika matamasha ya uimbaji yanayotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa Novemba. Matamasha hayo yamepangwa kufanyika Novemba , 2024 katika Ukumbi wa Mlimani City na Novemba 3 katika Viwanja…

Read More