
MAKAMU MWENYEKITI SHIWATA SULEIMAN KISSOKI AFARIKI DUNIA ,AZIKWA DAR
Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Suleiman Kissoki amefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mwandishi wa habari , Katibu Mkuu wa Shiwata, Michael Kagondela amesema hadi jana jioni, Kissoki alikuwa ofisini Ilala Bungoni akiendelea na majukumu yake. Kagondela amesema marehemu huyo…