Katika jamii zetu, familia imeendelea kuwa nguzo muhimu ya malezi, upendo, na mshikamano. Hata hivyo, kumekuwa na ongezeko la visa vya familia kuvunjika kutokana na
Category: Burudani

MSANII nyota wa filamu nchini anayetamba kwenye tamthilia ya Jua Kali, Wanswekula Zacharia ‘Dora’ humwambii kitu kuhusiana na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua anayemkosha

Dar es Salaam. Baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii ya X, Facebook na Instagram wamesimulia namna wanavyopitia kadhia ya majaribio ya kutapeliwa na watu

Huu ni muendelezo wa report za Muleba Festival kutokea hapa Mkoani Kagera,na hii ni video ikiwaonyesha wasanii wengine kutoka Dar Es Salaam akiwemo Dullah Makabila,Chino

Msanii wa muziki wa BongoFleva nchini Rayvanny ameomba kutolewa kwenye tuzo za muziki za Tanzania (TMA). Rayvanny ameomba ombi hilo kupitia post

Msanii wa Singeli, Dulla Makabila ameomba msamaha Yanga kwa kufanya maamuzi ya haraka ya kuhama timu hiyo wakati bado anamapenzi nayo. Kupitia ukurasa wake rasmi

Na Mwandishi Wetu Kamati ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) leo Agosti 29,2024 imetangaza wanaowania tuzo za muziki nchini, wakianza na vipengele vitatu ambavyo ni

Msaanii Mbosso kutokea katika record lebal ya WCB amewasilia katika viunga vya manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera na kupitishwa katika maeneo tofauti tofauti ya Manispaa

Sherehe hizo za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki kwa wanariadha wanaoishi na Ulemavu zilifanyika katikati mwa mji mkuu wa Ufaransa, Paris huku kukiwa na nyimbo

Msanii wa Sanaa ya Vichekesho nchini, Eliud Samwel amesikitishwa na Kitendo cha baadhi ya Watanzania wanaopenda kuwakwamisha wengine au kuwafanya warudi nyuma kimaendeleo. Amefunguka hayo