Maaskofu walilia amani inayozingatia haki

Dar es Salaam. Viongozi wa Kanisa Katoliki nchini wametoa wito wa kuendelea kufanywa maombi, kujitathmini kama taifa, na kusisitiza amani itakayozingatia haki, ili kuepuka kujeruhi na kupoteza heshima ya Taifa kutokana na vurugu na machafuko. Msisitizo wa viongozi hao wa kiroho ni kuwepo hali ya kukubali ukweli kwamba zipo sababu za msingi zilizoifikisha hatua hiyo,…

Read More

VURUGU ZILIVYOGHARIMU MAISHA YA WASANII OKTOBA 29

Msingi wa Vurugu ni uharibifu. Hupofusha watu kwa sababu, huondoa huruma na badala yake hujaza uadui, na husababisha vitendo vya kuumiza na wakati mwingine hugharimu maisha ya Watu. Vurugu mara nyingi zimekuwa chanzo cha baadhi ya matukio mabaya zaidi ya binadamu. Kilichotokea Oktoba 29. Wananchi wachache waliongia barabarani walifanya uhalifu wa kutisha kwa kisingizio cha…

Read More

BASATA YAZINDUA RASMI TUZO ZA TMA

BARAZA La Sanaa (BASATA) lafungua rasmi dirisha la Kupendekeza Kazi za Wasanii katika tuzo za Muziki nchini TMA zinazotarajiwa kufanyika Disemba mwaka huu. Akizungumza na Wanahabari Leo Oktoba 24,2025 Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Dkt.Kedmon Mapana amesema dirisha la Kupendekeza kazi za Sanaa tayari limefunguliwa hivyo Wasanii wachangamkie fursa hiyo. “Msimu wa…

Read More

Miji ya ubunifu inavyoweza kuiendeleza Tanzania

Kila siku, jua linachomoza mashariki na kuangazia nchi yetu ya Tanzania, ukwasi ambao tumezoea kuuona kwa kilimo, utalii na rasilimali asili. Lakini leo, kuna mwangaza mwingine unaochomoza ule wa skrini za kompyuta, ujanja wa kiteknolojia na nguvu ya ubunifu wa kifedha. Huu ndio mwangaza wa “Silicon Savannah,” dhana ambayo inaweza kuwa msingi wa mafanikio ya…

Read More