Aliyeimba No reforms no election, kuzikwa kesho Songea

Dar es Salaam. Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za hamasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), George Mwingira aliyetamba na wimbo wa ‘No reforms no election’, anatarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi Agosti 16, 2025. Mwingira maarufu ‘MC Mwingira’ alikutwa na umauti huo baada basi alilokuwa akisafiria kupata ajali maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro, Jumapili Agosti…

Read More

Aliyeimba ‘No reforms, no election’ afariki dunia

Dar es Salaam. Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za mbalimbali za hamasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikiwemo ya ‘Tundu Lissu wapeleke mchakamchaka’, George Mwingira amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari. Kwa mujibu wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Kusini, Belle Ponera, Mwingira amefariki dunia Jumapili Agosti 10, 2025 maeneo…

Read More

Mwana FA, AY washinda rufaa shauri la mabilioni ya Tigo

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufaa imetengua hukumu ya Mahakama Kuu iliyobatilisha ya awali iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya Ilala katika kesi ya madai ya hakimiliki iliyofunguliwa na wasanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Flavour), Hamisi Mwinyijuma (Mwana FA) na Ambwene Yesaya (AY). Mahakama ya Rufaa imetengua hukumu hiyo baada ya kukubaliana na rufaa…

Read More

Rayvanny aibua shangwe ufunguzi CHAN 2024

DAKIKA chache kabla ya mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina Faso uliofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rayvanny ameibua shangwe kwa mashabiki. Staa huyo ameingia uwanjani kutumbuiza katika sherehe za ufunguzi wa michuano hiyo akiimba wimbo wa Kitu Kizito aliomshirikisha Misso Misondo na kuibua vaibu kubwa…

Read More

Dah! Kwa Mkapa bado | Mwanaspoti

Muonekano wa mashabiki katika Uwanja wa Benjamin Mkapa siyo kama vile ambavyo ulitarajiwa kutokana na nyomi ya ilivyokuwa nje ya uwanja mapema leo kabla ya kuruhusiwa kuanza kuingia. Kabla ya mageti kufunguliwa watu walijaa nje ya uwanja wakisubiri kuingia ili kushuhudia mechi kati ya Taifa Stars dhidi ya Burkina Faso inayotarajiwa kuchezwa saa 2:00 usiku,…

Read More