
NCCR-Mageuzi walia na maadili walia maadili maudhui ya nyimbo
Dodoma. Chama Cha NCCR-Mageuzi leo kimevunja rekodi kati ya vyama vilivyochukua fomu za kugombea kiti cha Rais kwa kuwa na idadi ndogo ya wasindikizaji. Mgombea wa NCCR-Mageuzi Haji Ambar Khamis na mgombea mwenzake wake, Dk Evaline Munisi waliingia Ofisi za INEC wakiwa na wasindikizaji 11. Miongoni mwa waliowasindikiza alikuwepo Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Bara…