
Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, atua Tanzania kwa huduma ya Uimbaji
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, anayefahamika kwa wimbo wake maarufu Nina Siri, amewasili nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma katika matamasha ya uimbaji yanayotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa Novemba. Matamasha hayo yamepangwa kufanyika Novemba , 2024 katika Ukumbi wa Mlimani City na Novemba 3 katika Viwanja…