Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, atua Tanzania kwa huduma ya Uimbaji

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Rwanda, Israel Mboni, anayefahamika kwa wimbo wake maarufu Nina Siri, amewasili nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma katika matamasha ya uimbaji yanayotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa Novemba. Matamasha hayo yamepangwa kufanyika Novemba , 2024 katika Ukumbi wa Mlimani City na Novemba 3 katika Viwanja…

Read More

Samaki Samaki ilivyosheherekea miaka 17, ni Burudani kwa kwenda mbele

Mgahawa maarufu wa Samaki Samaki, jijini Dar es Salaam, ulitimiza miaka 17 tangu ulipoanzishwa rasmi mwaka 2007. Mgahawa huu, unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu Carlos Bastos, maarufu kwa jina Kalito Samaki, umekuwa na mafanikio makubwa katika sekta ya chakula na burudani nchini Tanzania. Kupitia mafanikio hayo, mwaka 2020, ulizalisha mgahawa mwenza unaoitwa *Kukukuku*, ambao pia jana…

Read More

BSS MSIMU WA 15 WAZINDULIWA RASMI

SHINDANO la kusaka Vipaji Tanzania Bongo Star Search ‘BSS’ misimu wa kumi na tano umezinduliwa rasmi kwa sasa ni Bongo Star Search African wanavuka boda. Akizungumza na wakati wa uzinduzi wa misimu huo mpya Mkurugenzi Mkuu wa Benchmark 360 Limited Rita Paulsen amesema kuwa Msimu huu wa kumi na tano wa Bongo Star Search ni…

Read More

BSSA lazindua majaji, watangazaji wapya msimu wa 15

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msimu wa kumi na tano wa Shindano la kusaka vipaji, Bongo Star Search African (BSSA), umewatangaza rasmi majaji na watangazaji watakaoongoza mashindano haya yanayopanuka kwa mara ya kwanza hadi nchi jirani. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi jijini Dar es Salaam, Jaji Mkuu wa BSSA, Madam Rita Paulsen, alifichua majina ya…

Read More