Msanii maarufu Steven Nyerere ametoa wito kwa mamlaka husika kuchukua hatua kali dhidi ya wahusika wa vitendo vya udhalilishaji kwa watoto wa kike, akisisitiza kuwa
Category: Burudani

Msanii wa muziki wa Bongofleva Rajab Abdul alimaarufu kama Harmonize atakiwa kuilipa Benki ya CRDB fidia ya Millioni 10, gharama za kesi na

Mkuu wa wilaya Tabora Eng Deusdedith katwale amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuupokea mwenge wa uhuru wilayani humo tarehe 20.08.2024. Katwale amesema kama wilaya wamejiandaa

NI miaka mingi sasa wanamuziki pacha Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square kutoka Nigeria hawana maelewano na hivyo kila mmoja kushika njia yake

Msanii wa vichekesho vya kuigiza sauti na kuingiza sauti kwenye video mbalimbali, ambaye anajulikana kwa jina la @mkalimani_og, amefunguka kuhusu changamoto zake za kifedha katika

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MSANII maarufu wa kimataifa wa Jamaika, Konshens, ameachia wimbo wake mpya uitwao ‘Shek It’ ukiwa kwenye audio na video. Konshens

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Azam Media LTD kupitia Chaneli ya Sinema Zetu HD namba 106 imezindua tamthilia mpya iitwayo Mzani wa Mapenzi, inayowahusisha wasanii

Sintofahamu imezuka kati ya mwanasoshalaiti wa Uganda Zari Hassan na mume wake, Shakib Cham Lutaaya, kufuatia ujio wa ghafla wa Diamond Platnumz katika nyumba yao ya

Dodoma. Jeshi la Polisi linamshikilia mlinzi wa Kanisa Katoliki Nzuguni jijini Dodoma kwa uchunguzi wa kifo cha msanii wa Bongo Fleva, Joseph Fransis (46) maarufu Mandojo.

Dodoma. Jeshi la Polisi linamshikilia mlinzi wa Kanisa Katoliki Nzuguni jijini Dodoma kwa uchunguzi wa kifo cha msanii wa Bongo Fleva, Joseph Frank (46) maarufu