Alikiba atunukiwa TUZO kama CHAMPION wa Maendeleo ya Mtoto wa Kike

Alikiba atunukiwa TUZO kama CHAMPION wa Maendeleo ya Mtoto wa Kike kupitia Kongamano la KIGODA LA WASICHANA @kigodachawasichana lililofanyika Tarehe 11/10/2024 katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Kike visiwani Zanzibar. Kongamano lililoandaliwa na Taasisi ya @shirazfoundation imemkabidhi Tuzo hiyo Alikiba alipohudhuria na kushiriki Kongamano hilo viwanja vya Nyamanzi Zanzibar na kuhudhuriwa na Mgeni Rasmi,…

Read More

Wimbo Mpya : AGNESS SULEIMAN Ft. CRIMMY – NIMEKOMA

Mwanamuziki na Muigizaji maarufu nchini  Tanzania Agness Suleiman 18 Oktoba  ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoenda kwa jina la ‘NIMEKOMA’ wenye uhalisia wa zouk (kompa) Kwa mujibu wa Agness Suleiman amesema tayari wimbo huo ambao amemshirikisha  Crimmy unapatikana kwenye ‘platform’ zote za muziki za mitandaoni ikiwemo Boomplay, Youtube,  iTunes,  Audiomack na zingine nyingi. Agness pia bado yupo…

Read More

Homa ya burudani: Mambo yapamba moto wakati Diamond akijiandaa na OktobaFest

1728459898760160 Serengeti Oktoberfest imerudi tena kwa kishindo! Mwaka jana, Supastaa Diamond Platnumz aka Chibu Dangote aliwaimbisha zaidi ya wauhudhuriaji 10,000 Kenya na kunogesha experience nzima ya burudani, bia na mizuka. Mwaka huu, inasemekana anarudi tena kukinukisha kwenye steji hii kubwa Afrika Mashariki. Je, tutegemee kumuona tena akiangusha steji ndani ya Kenya, Uganda au nyumbani kwao…

Read More

TUJIKINGE NA UGONJWA WA KICHAA CHA MBWA KWANI ZAIDI YA WATU 60,000 HUFARIKI KILA MWAKA

  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Abdul Mhinte katikati akiwa katika picha ya pamoja katika Maadhimisho ya Kichaa cha Mbwa Duniani Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza Septemba 28, 2024.(Picha na Faustine Gimu) Ugonjwa wa Kichaa cha mbwa ( Rabies) ni ugonjwa hatari unaoathiri ubongo na kwa kawaida unamwuua aliyeambukizwa nao. Jina na njia za kuambukizwa Jina la…

Read More

MSONDO NGOMA KUADHIMISHA MIAKA 60 GWAMBINA

Na.Khadija Seif, Michuziblog BENDI ya Msondo Ngoma yawaalika Mashabiki zake kuhudhuria Tamasha la Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa bendi hiyo. Akizungumza na Wanahabari Leo Oktoba 04,2024 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Kamati ya Tamasha hilo Said Kibiriti amesema bendi hiyo imekuwa Mfano wa kuigwa katika tasnia ya Muziki kutokana na kuhudumu kwa Miaka mingi…

Read More

Tamasha la miaka 60 ya Msondo Ngoma kufanyika Oktoba 26

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Bendi maarufu ya muziki wa dansi nchini Tanzania, Msondo Ngoma Music Band, inatarajia kuadhimisha miaka 60 tangu kuanzishwa kwake kwa tamasha maalum litakalofanyika Oktoba 26, 2024, katika viwanja vya Gwambina Lounge (zamani TCC Club) Changombe, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa bendi hiyo, Saidi Kibiriti,…

Read More

Nandy na Diamond kuwania Tuzo za AEAUSA

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Faustina Mfinanga, anayefahamika zaidi kwa jina la Nandy, ametajwa kuwania tuzo ya Msanii Bora wa Kike (Best Female Artist) kwenye tuzo za African Entertainment Awards USA (AEAUSA). Katika kipengele hiki, Nandy atachuana na mastaa wakubwa wa muziki barani Afrika kama Yemi Alade, Tiwa…

Read More