Ni Dj Effexy ambae kwasasa anaingia kwenye rekodi za Ma Dj’s kutokea Tanzania ambao wenye ushawishi wa kupendwa hususani pale anapowakosha watu wanaofika kwenye maeneo
Category: Burudani

Where were you last weekend if not at the National Stadium??? On a hot Saturday afternoon, Pilsner Lager, in partnership with Simba Sports Club

Producer maarufu Mazuu wa Mazuu Records amefunguka kuhusu changamoto kubwa alizokutana nazo wakati wa safari ya muziki ya msanii Rich Mavoko, akisisitiza kuwa licha ya

BAADA ya wikendi iliyopita nchi kuwa bize kwa matamasha ya Simba, Yanga jijini Dar es Salaam na Azam Kigali, Rwanda, kesho ni zamu ya Jiji

BONGO Fleva inazidi kuchacha mbuga.Sio kwenye soko la ndani tu,m hadi kimataifa na tofauti ya miaka ya nyuma ilikuwa wimbo kutoka nje ya mipaka ya

ACHANA na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana. Sahau kuhusu Simba Day na Wiki ya Mwananchi matamasha yaliyofanyika wikiendi iliyopita. Kesho na kweshokutwa huko mkoani nako

Baada ya baadhi ya mashabiki kudai kuwa msanii wa Bongo Fleva, Harmonize hakufanya vyema tamasha la Kilele cha Wiki ya Mwananchi ‘Yanga Day’.

Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa duniani kuna mabilionea wa Dola za Marekani (wenye ukwasi unaozidi Sh2.7 trilioni) takribani 3,200. Kati ya hao, zaidi ya 1,000 wanatokea

KAMA hujui ni kwamba leo Alhamisi pale Kwa Mkapa kuna Dabi ya Karikoo iliyokuwa ikisubiriwa inapigwa ikizikutanisha timu za Simba na Yanga katika pambano la

Na.Khadija Seif Michuziblog WASANII wa Bongomuvi kupewa Heshima Kimataifa kupitia Tuzo za Tamthilia zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi Agosti 24,2024 Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari