Harmonize agonga kolabo na mastaa kibao

  MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ ameshirikishwa na staa wa muziki kutoka nchini Ghana, KJ Spio katika kibao kiitwacho ‘Messi”. Anaripoti Joseph Shaluwa, Dar es Salaam … (endelea). Katika kolabo hiyo, mbali na Harmonize, KJ amemshirikisha mwanamuziki mwingine, mkali wa Dancehall kutoka Jamaica, Konshens ambao kwa pamoja wamenogesha singo hiyo. Ngoma hiyo ambayo…

Read More

WASANII WAPAMBA TAMASHA LA BIBI TITI, DKT. ABBASI ASHIRIKI

Na John Mapepele WASANII wa Tanzania wamepamba ufunguzi wa msimu wa nne wa Tamasha la Bibi Titi Mohamed usiku wa kuamkia leo huku Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dkt Hassi Abbasi akihudhuria. Awali, Serikali ilisisitiza kufungamanisha matamasha mbalimbali ya utamaduni na Utalii ili kuongeza mapato hatokanayo Utalii. Miongoni mwa wasanii waliowapagawisha wakazi wa viunga…

Read More

Hilo ndilo chimbuko la Sinza kwa wajanja

Dar es Salaam. Sinza ni miongoni mwa maeneo maarufu na yenye pilikapilika nyingi katika Jiji la Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Ripoti ya Sensa ya Watu na Makazi 2022, eneo hilo lina wakazi takribani 31,396, huku wanaume wakiwa 14,759 na wanawake wakiwa 16,637. Kwa mujibu wa mkazi wa eneo hilo kwa takribani miaka 30,…

Read More

Chino kuizindua Sumu EP nyumbani kwao Ifakara Morogoro

Siku ya leo msanii Chinno ametangaza kurejea nyumbani kwao Ifakara Morogoro ambapo atarejea maalum kwaajili ya uzinduzi EP yake ambayo ameipa jina la Sumu ambayo itakua na jumla ya nyimbo sita pamoja na bonus track Chinno amesema hatoenda peke ake Morogoro anatarajia uwepo wa wasanii wakubwa ambao ni kaka zake akiwemo Marioo kwenda kumsupport kwani…

Read More

SABAH MUCHACHO AKILI THE BRAIN KUNOGESHA MKESHA WA CHRISTMAS

TAARAB Kunogesha Usiku wa Tamasha la Mkesha wa Sikukuu ya Christmas “ONJESHA EXPERIENCE CHRISTMAS EVE” huku Watoa burudani Sabah Muchacho Akili the Brain ndani ya Khana Khazana Oysterbay Jijini Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa Kutambulisha Tamasha hilo Mtayarishaji na Msanii wa Muziki wa Bongofleva kwa aina ya Mahadhi ya Kihindi “Akili the Brain” amesema…

Read More