Hivi ndivyo hali inayoendelea Mkoani Kigoma kwa Mashabiki wa soka Mashujaa FC wakiendelea na hamasa ambapo wametangaza tarehe 10 August 2024 kuwa kilele cha wiki
Category: Burudani

Mbeya. Mkazi wa Kijiji cha Ntokela wilayani Rungwe, Mkoa wa Mbeya, Yusuph Chaula (56) amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala la mwanawe Shadrack

Morogoro. Umati mkubwa wa wananchi umejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuhudhuria mkutano wa hadhara wa Rais Samia Suluhu Hassan. Mkutano huo

MWANASPOTI lilikuwepo kwenye Tamasha la Simba Day na kulikuwepo na mastaa wengi waliohudhuria shoo hiyo kali kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na ilikuwa maalumu kwa

Dar es Salaam. Kampuni ya Kismaty Advert Media Co. Ltd, iliyomshtaki msanii wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’ Omary Mwanga, maarufu Marioo imemuomba Jaji

TUNASHINDANA kila kitu katika miaka hii. Zama za ‘social media’. Wikiendi hii tulikuwa tunashindana tena katika matamasha mawili ya klabu pacha za Kariakoo Simba na

RAIS Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele kuunga mkono wasanii wetu ili waweze kutoboa kimataifa. Ziara yake ya Korea Kusini aliyofuatana na wasanii wa

WAPO wanaosema ni kabila tu mtu ndio hawezi kuhama, lakini imani ya dini watu wanahama. Wapo wanaohama vyama vya kisiasa na hata kwa ishu ya

UKISIKIA funga kazi, basi ilikuwa jana wakati Yanga ilipohitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, saa 24 tu tangu Simba kufanya tamasha la Simba Day na

Ameandika Afisa Habari wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally Hauhitaji muda mrefu ili kuwa na Tamasha zuri unahitaji muda mchache uliopangiliwa vizuri