Harmonize agonga kolabo na mastaa kibao
MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ ameshirikishwa na staa wa muziki kutoka nchini Ghana, KJ Spio katika kibao kiitwacho ‘Messi”. Anaripoti Joseph Shaluwa, Dar es Salaam … (endelea). Katika kolabo hiyo, mbali na Harmonize, KJ amemshirikisha mwanamuziki mwingine, mkali wa Dancehall kutoka Jamaica, Konshens ambao kwa pamoja wamenogesha singo hiyo. Ngoma hiyo ambayo…