Maonyesho ya historia ya Tanzania yazinduliwa Berlin – DW – 03.12.2024
Tanzania na Ujerumani zimekuwa na historia kubwa inayoanzia enzi za ukoloni wakati ilipokuwa sehemu ya koloni la wajerumani na kufahamika kama “Ujerumani ya Afrika Mashariki.” Historia hiyo hata hivyo imejaa machungu kutokana na alama ya ukoloni iliyoachwa na Wajerumani waliowakandamiza wenyeji na kuwatesa wakati wa utawala wao. Soma pia: Ujerumani yawaomba radhi Watanzania kwa madhila ya…