Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Burudani

  • Home
  • Burudani
  • Page 34
Burudani Michezo

Hamis Mabetto sasa ni Mwananchi

August 4, 2024 Admin

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga, Haji Manara ‘Bugatti’ amesema amemsilimisha rasmi Mwanamitindo maarufu nchini, Hamisa Mobetto kuwa shabiki wa timu hiyo ya Jangwani kutoka Msimbazi.

Read More
Burudani Michezo

Picha: Rayvanny na Marioo, Harmonize walivyokiamsha ‘Yanga day’ kwa Mkapa

August 4, 2024 Admin

Ni Agosti 4, 2024 ambapo Wakali kutokea Bongo Flveni, Rayvanny na Marioo, Harmonize ni miongoni mwa wasanii waliopandaa kwenye shamra Shamra za Mwananchi ‘Yanga SC’

Read More
Burudani Michezo

Konde Boy aliamsha kwa Mkapa

August 4, 2024 Admin

NYOTA wa muziki wa Bongo Felva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ a.k.a Konde Boy amewapagawisha mashabiki wa timu hiyo wakati wa kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ kilichofanyika

Read More
Burudani Michezo

DJ Ally B akiwasha kwa Mkapa

August 4, 2024 Admin

DJ maarufu nchini, Ally Suleiman Simba ‘DJ Ally B’, amegeuka msanii wa muda mfupi, nje na kazi yake ameamua kuimba nyimbo mbalimbali za wakongwe. DJ

Read More
Burudani Michezo

Mboto kama Mourinho | Mwanaspoti

August 4, 2024 Admin

MSANII wa vichekesho,  Mboto amejigeuza Jose Mourinho wakati akiiongoza timu ya masupastaa wanaoishabiki Yanga akiwa kama kocha amefanya kituko cha kuamua kuingia uwanjani kumfokea straika

Read More
Burudani Michezo

Mario asapraizi mashabiki kwa pikipiki

August 4, 2024 Admin

MSANII wa Bongo Fleva, Omary Ally Mwanga ‘Marioo’ amewafanyia sapraizi mashabiki wa Yanga kutokana na aina  ya uingiaji wake Uwanja wa Benjamin Mkapa kutumbuiza sherehe

Read More
Burudani Michezo

BillNass aingia kitofauti kwa Mkapa 

August 4, 2024 Admin

MSANII wa kizazi kipya ‘BillNass’ atua kivingine katika uwanja wa Benjamin Mkapa huku akitoa burudani ili washangaza mashabiki. Staa huyo alitua na kikundi chake kikiwa

Read More
Burudani Michezo

Yanga noma, yatawala kila kona

August 4, 2024 Admin

YANGA imeendelea kufanya vizuri kila kona baada ya kikosi hicho cha Maveterani kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Wasanii, katika mchezo

Read More
Burudani Michezo

Kwa Mkapa mambo yameanza kunoga

August 4, 2024 Admin

NYOMI ya mashabiki wa Yanga ikiwa imefurika nje, walioingia ndani wanaendelea na burudani ya muziki, huku mhamasishaji wa tamasha la wiki la Mwananchi, Dakota akiifanya

Read More
Burudani Michezo

Mashabiki Yanga: Kwa kikosi hiki hatuna cha kuhofia

August 4, 2024 Admin

KILELE cha Wiki ya Mwananchi (Yanga Day) kinahitimishwa leo Agosti 4, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kwa klabu hiyo kutambulisha kikosi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 33 34 35 … 50 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.