Dk Mpango ataja sababu sita hali mazingira kutokuwa nzuri

Dodoma. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameeleza sababu sita zinazochangia hali mbaya ya mazingira nchini, ikiwemo tuhuma kwa baadhi ya wafanyabiashara wa mkaa kuwa na ushawishi mkubwa kwenye uamuzi. Sababu nyingine amesema ni sheria kinzani, kutotosheleza kwa vitalu vya miche, vifaa vya kukusanyia taka, wenye uwezo mdogo kutomudu gharama za nishati safi, kasi ya…

Read More

Mama Kanumba: Sijawahi kuangalia filamu za Kamnumba

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mama wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa, amesema kwamba hajawahi kuangalia filamu ya mwanae tangu alipofariki kwa sababu zinamletea maumivu ya kihisia. Alieleza hisia zake kwenye Tamasha la Faraja ya Tasnia 2024 lililofanyika Septemba 7, 2024, jijini Dar es Salaam. Tamasha hili lina lengo la kuwaenzi wasanii na wanahabari waliotangulia…

Read More

Kumekucha Mbeya City Day, Jiji litasimama

WAKATI wadau mashabiki wa soka wakisubiri tukio la Mbeya City Day, uongozi wa timu hiyo umesema maandalizi yanaenda vyema na wamejipanga kuwapa raha wakazi wote wa jiji hilo. Awali tukio hilo lilikuwa lifanyike Agosti 17 mwaka huu, kisha kusogezwa hadi Agosti 31, lakini sasa ni rasmi litafanyika Septemba 7 ambayo ni Jumamosi ya wiki hii,…

Read More