Vijiwe vya Bodaboda kuonyesha kazi Dar, Dom

VIJIWE vya Bodaboda vya jijini Dar es Salaam na Dodoma vinatarajiwa kuchuana katika soka ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani nchini. Kamanda wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani, Ramadhan Ng’azi ameyasema hayo leo Jumatano, Agosti 21, 2024. Kamanda huyo alikuwa akizungumzia maadhimisho ya Wiki ya Usalama wa barabarani yanaokwenda sambamba na…

Read More

STEVE NYERERE ATAKA HATUA KALI KWA WANAODHALILISHA WATOTO WA KIKE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Msanii maarufu Steven Nyerere ametoa wito kwa mamlaka husika kuchukua hatua kali dhidi ya wahusika wa vitendo vya udhalilishaji kwa watoto wa kike, akisisitiza kuwa haki na utu wa binadamu lazima vilindwe kwa gharama yoyote. Kupitia ujumbe aliouandika, Steven Nyerere alieleza kutoridhishwa kwake na majibu mepesi yanayotolewa kuhusiana na matukio ya udhalilishaji wa watoto wa…

Read More

Kampuni ya siri nyuma ya mgogoro wa P-Square

NI miaka mingi sasa wanamuziki pacha Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square kutoka Nigeria hawana maelewano na hivyo kila mmoja kushika njia yake kimuziki na kifamilia, lakini hiyo haijawa mwarobaini wa tofauti zao. Kampuni ya siri ndiyo ipo nyuma ya mgogoro wao ambao umeshuhudiwa hivi karibani katika mitandao ya kijamii ikiwa ni matokeo…

Read More