Ni Agosti 2, 2024 ambapo Mke wa Joseph Kusaga aitwae Juhayna Ajmy ametambulisha rasmi Radio yake iitwayo Malkia Choice FM 102.5. Akizungumza katika Sherehe za
Category: Burudani

Kesho ndio kilele cha Tamasha la Simba Day kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ambako wenyeji Simba SC wanatarajia kucheza mechi ya kirafiki

MIAMBA ya soka nchini, Yanga na Simba zina historia ndefu kwenye mchezo huu na zaidi ya yote ni tambo zao uwanjani. Hata hivyo, mbali na

KAMA hadi sasa bado hujanunua tiketi ya Tamasha la Simba Day, baki nyumbani tu. Kwani hiyo kesho, ambapo kutakuwa na pati ya Simba Day, hutaweza

MKURUGENZI wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited, David Mulokozi amesema Watanzania wapenda burudani ya muziki sasa watakuwa na nafasi ya kuwashuhudia wasanii wakongwe wa

YANGA imesharejea nchini kutoka Afrika Kusini ilipoenda kuweka kambi ya siku 10, ikicheza mechi tatu za kimataifa za kurafiki, ikuiwamo kubeba ubingwa wa Kombe la

NDUGU yetu Dulla Makabila amekosa kirahisi fursa ya kupiga shoo kwenye kilele cha tamasha la Simba Day, keshokutwa Jumamosi. Kilichomponza ni mdomo wake mwenyewe ambao

KWA mara nyingine tena, mabibi na mabwana, wavulana kwa wasichana, mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ ndiye atakuwa kinara wa

Msanii na staa wa Bongo Flavour Tanzania, Harmonize, ametambulisha wimbo mpya wa Yanga (Yanga Hii Unaifungaje), atakao tamba nao siku ya kilele cha Wiki ya

MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amemaliza utata juu ya msanii wa muziki wa Singeli, Dulla Makabila kuhusu kutumbuiza katika Tamasha la Simba Day,