Konshens aibuka na Shek It kideoni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MSANII maarufu wa kimataifa wa Jamaika, Konshens, ameachia wimbo wake mpya uitwao ‘Shek It’ ukiwa kwenye audio na video. Konshens ndiye anayeongoza nyimbo nyingi kubwa zaidi za Dancehall za wakati wote duniani, safari hii anajidhihirisha kuwa mkali wa mtindo wa Dancehall. Kibao hicho kimetayarishwa na prodyuza mkali, Costa Rica BomboCat,…

Read More

H Money atupa jiwe ‘Tic Tik’ akiwa na Reekado Banks

  PRODYUZA wa muziki wa kimataifa Harmony Samuels a.k.a H Money, ameachia wimbo wake mpya uitwao  “Tic Tik” akiwa amemshirikisha  gwiji kutoka Nigeria, Reekado Banks. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika wimbo huo wenye mikito ya Kinigeria, ladha tamu kutoka kwa H-Money akiungana na Reekado, unatengeneza burudani ya aina yake ya mtindo wa Afrobeats uliotayarishwa kwa…

Read More

NMB kuwanoa wajasiriamali 700, kukabidhi Skuli Kizimkazi Festival 2024

  KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2024), imetambulisha rasmi wadhamini wa mwaka huu, ikiwemo Benki ya NMB ambayo pamoja na mambo mengine itawanoa wajasiriamali zaidi ya 700 na kukabidhi Skuli ya Maandalizi ya Tasani, iliyopo Sheia ya Tasani, Makunduchi, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Kizimkazi Festival ni tamasha linalotumika…

Read More

H Money Atupa Jiwe ‘Tic Tik’ Akiwa na Reekado Banks

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital PRODYUZA wa muziki wa kimataifa Harmony Samuels a.k.a H Money, ameachia wimbo wake mpya uitwao  “Tic Tik” akiwa amemshirikisha  gwiji kutoka Nigeria, Reekado Banks. Katika wimbo huo wenye mikito ya Kinigeria, ladha tamu kutoka kwa H-Money akiungana na Reekado, unatengeneza burudani ya aina yake ya mtindo wa Afrobeats uliotayarishwa kwa umaridadi…

Read More