
NMB kumkabidhi Rais Samia shule, kuwanoa Wajasiriamali 700 Kizimkazi Festival
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2024), imetambulisha rasmi wadhamini wa mwaka huu, ikiwemo Benki ya NMB, ambayo pamoja na mambo mengine itawanoa wajasiriamali zaidi ya 700 na kukabidhi Skuli ya Maandalizi ya Tasani, iliyopo Sheia ya Tasani, Makunduchi, Zanzibar. Kizimkazi Festival ni tamasha linalotumika kuzindua miradi ya…