Wimbo Mpya : AGNESS SULEIMAN Ft. CRIMMY – NIMEKOMA
Mwanamuziki na Muigizaji maarufu nchini Tanzania Agness Suleiman 18 Oktoba ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoenda kwa jina la ‘NIMEKOMA’ wenye uhalisia wa zouk (kompa) Kwa mujibu wa Agness Suleiman amesema tayari wimbo huo ambao amemshirikisha Crimmy unapatikana kwenye ‘platform’ zote za muziki za mitandaoni ikiwemo Boomplay, Youtube, iTunes, Audiomack na zingine nyingi. Agness pia bado yupo…