Huku nako pamechangamka! | Mwanaspoti

ACHANA na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana. Sahau kuhusu Simba Day na Wiki ya Mwananchi matamasha yaliyofanyika wikiendi iliyopita. Kesho na kweshokutwa huko mkoani nako kuna burudani ya kukata na shoka wakati klabu nne tofauti za Ligi Kuu zitakapofanya matamasha ya kuukaribisha msimu mpya wa 2024-2025. Mashabiki wa soka wa mikoa ya Kigoma, Singida, Mwanza…

Read More

Siri ya ubilionea wa matajiri wakubwa duniani

Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa duniani kuna mabilionea wa Dola za Marekani (wenye ukwasi unaozidi Sh2.7 trilioni) takribani 3,200. Kati ya hao, zaidi ya 1,000 wanatokea Amerika ya Kaskazini, zaidi ya 900 wanatokea Ulaya, Asia wana zaidi ya 800, huku Afrika ikiwa nao chini ya 50. Katika kila bara duniani, kuna mtu mmoja ambaye ni tajiri…

Read More

TUZO ZA FILAMU KUZINDULIWA RASMI AGOSTI 24 WIZARA YATOA NGUVU

Na.Khadija Seif Michuziblog WASANII wa Bongomuvi kupewa Heshima Kimataifa kupitia Tuzo za Tamthilia zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi Agosti 24,2024 Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari Leo Agosti 07,2024 Meneja wa Kitengo cha Uhakiki kutoka Bodi ya Filamu nchini Boppe Kyungu amesema Serikali kupitia Bodi ya Filamu inazitambua tuzo hizo,ambapo pamoja na mambo mengine amewataka wadau…

Read More