Rayvanny aibua shangwe ufunguzi CHAN 2024

DAKIKA chache kabla ya mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina Faso uliofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rayvanny ameibua shangwe kwa mashabiki. Staa huyo ameingia uwanjani kutumbuiza katika sherehe za ufunguzi wa michuano hiyo akiimba wimbo wa Kitu Kizito aliomshirikisha Misso Misondo na kuibua vaibu kubwa…

Read More

Dah! Kwa Mkapa bado | Mwanaspoti

Muonekano wa mashabiki katika Uwanja wa Benjamin Mkapa siyo kama vile ambavyo ulitarajiwa kutokana na nyomi ya ilivyokuwa nje ya uwanja mapema leo kabla ya kuruhusiwa kuanza kuingia. Kabla ya mageti kufunguliwa watu walijaa nje ya uwanja wakisubiri kuingia ili kushuhudia mechi kati ya Taifa Stars dhidi ya Burkina Faso inayotarajiwa kuchezwa saa 2:00 usiku,…

Read More

Polisi waua watatu wanaodaiwa majambazi Kigoma

Kigoma/Mtwara. Watu watatu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi mkoani Kigoma. Watu hao wanaodaiwa kupanga kufanya unyang’anyi kwa kutumia silaha, wanadiwa kukutwa bunduki moja AK 47, magazine 1 ikiwa na risasi 10, bunduki iliyotengeneza kienyeji, visu viwili, panga  na marungu matatu. Tukio hilo lilitokea usiku wa Julai 31, 2025 katika…

Read More

Morocco: Tupo tayari, tukutane Kwa Mkapa

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Jumamosi kitashuka uwanjani katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Fainali za Kombe la Ubingwa wa Nchi za Afrika (Chan) 2024 dhidi ya Burkina Faso, huku kocha wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ akitamba wapo tayari kwa vita. Tanzania ambao ni wenyeji wa fainali hizo…

Read More

Hii hapa msingi ya elimu ya mababu zetu

Arusha. Nimepata bahati na fursa ya kufanya utafiti kuhusu desturi za mababu zetu wa Kiafrika hususan wale wa kabila langu na makabila mengine ya Afrika ya Mashariki kwa ujumla.  Pia nimeendelea kujifunza kuhusu somo hili na kuhusu falsafa za mababu zetu na za mataifa mengine.  Ninaendelea kufanya tafakari juu ya yale yote niliyojifunza na ninayojifunza…

Read More

WAZIRI GWAJIMA KUZINDUA KAMPENI YA ‘BADILIKA’ TOKOMEZA UKATILI MKOANI KIGOMA

  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum- Dkt. Doroth Gwajima anatarajiwa kuzindua kampeni ya ‘Badilika, Tokomeza Ukatili’ yenye lengo la ukatili wa kijinsia mkoani Kigoma. Uzinduzi huo umepangwa kufanyika Jumatatu Julai 28, 2025 katika uwanja wa Mwanga Community Centre ambapo kampeni hiyo inatarajiwa kuleta hamasa makundi ya kijamii kuwa wanamabadiliko kupitia…

Read More