MHE. MCHENGERWA AZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI MSASANI, MWANANYAMALA. AMWOMBEA KURA RAIS SAMIA
Na Mwandishi Wetu Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM kuipitia Mkoa wa Pwani, na Waziri wa TAMISEMI, Mhe Mohamed Mchengerwa amewaomba watanzania kumpigia kura zote za ndiyo Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa amefanya kazi kubwa ya kuwaletea watanzania maendeleo. Mhe. Mchengerwa ametoa rai hiyo leo alipokuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za udiwani…