Miji ya ubunifu inavyoweza kuiendeleza Tanzania

Kila siku, jua linachomoza mashariki na kuangazia nchi yetu ya Tanzania, ukwasi ambao tumezoea kuuona kwa kilimo, utalii na rasilimali asili. Lakini leo, kuna mwangaza mwingine unaochomoza ule wa skrini za kompyuta, ujanja wa kiteknolojia na nguvu ya ubunifu wa kifedha. Huu ndio mwangaza wa “Silicon Savannah,” dhana ambayo inaweza kuwa msingi wa mafanikio ya…

Read More

Othman aahidi kukuza, kuendeleza vipaji Zanzibar

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema akishinda urais Oktoba 29, ataviendeleza vipaji vya sanaa mbalimbali ili kutimiza malengo ya wasanii wa kisiwa hicho.  Othman amesema atahakikisha anaipa kipaumbele sekta ya sanaa kwa kuwajengea uwezo wasanii wa ndani kisiwa hicho, ili kufikia viwango vya kimataifa na kuitangaza Zanzibar…

Read More

Hekaya za Mlevi: Unawajua Wazungu Weusi? 

Dar es Salaam. Mwezi huu tunatimiza miaka ishirini na sita toka kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Leo nimeona niilete kwenu sehemu ya hotuba aliyoitoa mwaka 1962 wakati anaunda Wizara ya Sanaa ya Taifa na Vijana.  Ni miaka  sitini na tatu toka Mwalimu alipotoa  hotuba hii, Je, ndoto yake ilitimizwa na inaendelezwa?…

Read More

Bado Watatu – 55 | Mwanaspoti

WAKILI aliendelea: “Wakati mwingine makosa ya watendaji wa serikali yanaweza kusababisha makosa mengine kwa wananchi. Mshitakiwa bado ni kijana mdogo sana. Alipoona watu waliomuua ndugu yake wametoroshwa jela, alitokwa na imani na watendaji wa serikali. Alishindwa hata kwenda kupiga ripoti polisi, na kutokana na imani kwamba wale watu walishahukumiwa kunyongwa, akaona afanye yeye kazi hiyo.”Baada…

Read More

Wanawake katika mtego matumizi ya ‘vipako’

Dar es Salaam. Video na picha watu maarufu na wenye ushawishi zimegeuka mwalimu mpya wa urembo, hali inayosababisha wanawake wengi kuangukia kwenye uraibu wa vipodozi. Kila uchao wakihangaika kununua bidhaa mpya za ngozi zinazotangazwa wakiamini ndizo tiketi ya kuwa na ngozi laini, ang’avu na yenye mvuto. Kile kinachoitwa ‘skin care routine’ yaani utaratibu wa kila…

Read More

Balozi wa India nchini ahimiza uwekezaji kwa vijana

Dar es Salaam. Balozi wa India nchini Tanzania, Bishwadip Dey amesema vijana ndiyo wanashikilia mustakabali wa Taifa lolote duniani, hivyo ni muhimu kuwapa fursa na kuwajengea uwezo katika mambo wanayoyafanya ikiwemo utamaduni. Balozi Dey amebainisha hayo usiku wa jana katika hafla ya utoaji wa tuzo kwa washindi wa tuzo za uchoraji wa picha zijulikanazo kama…

Read More

Anko Nzala awataja Diarra, Sowah

MSANII wa vichekesho nchini, Aman Nzala maarufu kama ‘Anko Nzala’ amesema japo ni shabiki wa Simba lialia, anafurahi kuonA video zake zinafuatiliwa hadi na watu wa upande wa pili akiwamo kipa Diarra Djigui na Rais wa Yanga, Hersi Said. Nzala ameliambia Mwanaspoti kuwa, rais wa Heshima wa Simba, Mohammed ‘MO’ Dewji na yule wa Yanga,…

Read More