Miji ya ubunifu inavyoweza kuiendeleza Tanzania
Kila siku, jua linachomoza mashariki na kuangazia nchi yetu ya Tanzania, ukwasi ambao tumezoea kuuona kwa kilimo, utalii na rasilimali asili. Lakini leo, kuna mwangaza mwingine unaochomoza ule wa skrini za kompyuta, ujanja wa kiteknolojia na nguvu ya ubunifu wa kifedha. Huu ndio mwangaza wa “Silicon Savannah,” dhana ambayo inaweza kuwa msingi wa mafanikio ya…