
PUMZI YA MOTO:Kampuni zetu za kimataifa ziwaunge mkono wasanii
RAIS Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele kuunga mkono wasanii wetu ili waweze kutoboa kimataifa. Ziara yake ya Korea Kusini aliyofuatana na wasanii wa maigizo ni mfano halisi wa upendo wa mama kwa wanawe wasanii. Lakini iko haja ya taasisi nyingine za serikali anazoziongoza ziongeze juhudi katika kumuunga mkono katika harakati hizi. Nitatolea mfano…