Wamehama kambi | Mwanaspoti

WAPO wanaosema ni kabila tu mtu ndio hawezi kuhama, lakini imani ya dini watu wanahama. Wapo wanaohama vyama vya kisiasa na hata kwa ishu ya uraia wapo wanaohama na maisha yakaendelea freshi tu na huko katika ushabiki wa soka mambo nako ni moto, ingawa hutokea kwa nadra sana. Ndio, kutokana na mchezo maarufu wa soka,…

Read More

Shughuli imekwisha, tukutane ‘Nane Nane’

UKISIKIA funga kazi, basi ilikuwa jana wakati Yanga ilipohitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, saa 24 tu tangu Simba kufanya tamasha la Simba Day na kutambilisha mashine mpya za msimu wa 2024-2025m, huku mashabiki wa timu hiyo baada ya kuona vikosi vyote kutamba wakisema ‘Tukutane Nane Nane’. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Alhamisi hii kwenye…

Read More

Hamis Mabetto sasa ni Mwananchi

MSEMAJI wa Klabu ya Yanga, Haji Manara ‘Bugatti’ amesema amemsilimisha rasmi Mwanamitindo maarufu nchini, Hamisa Mobetto kuwa shabiki wa timu hiyo ya Jangwani kutoka Msimbazi. Hatua hiyo imejiri wakati wa tamasha la kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ ambapo msanii huyo alivalishwa jezi ya Mwananchi na Stephane Aziz KI aliyeitwa jukwaani na Haji Manara. Katika tukio…

Read More

Konde Boy aliamsha kwa Mkapa

NYOTA wa muziki wa Bongo Felva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ a.k.a Konde Boy amewapagawisha mashabiki wa timu hiyo wakati wa kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ kilichofanyika kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Konde Boy aliingia uwanjani hapo kwa ajili ya kutoa burudani kwa mashabiki wa timu hiyo huku akianza kuimba wimbo wa ‘Yanga Hii Unaifungaje’. Wimbo huo…

Read More

DJ Ally B akiwasha kwa Mkapa

DJ maarufu nchini, Ally Suleiman Simba ‘DJ Ally B’, amegeuka msanii wa muda mfupi, nje na kazi yake ameamua kuimba nyimbo mbalimbali za wakongwe. DJ huyo alikuwa anapiga nyimbo na kuimba ambapo alifanya shangwe za mashabiki zilipuke katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika tamasha la kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’. Ally B, alikuwa anazima muziki…

Read More

Mboto kama Mourinho | Mwanaspoti

MSANII wa vichekesho,  Mboto amejigeuza Jose Mourinho wakati akiiongoza timu ya masupastaa wanaoishabiki Yanga akiwa kama kocha amefanya kituko cha kuamua kuingia uwanjani kumfokea straika baada ya kukosa bao. Timu hiyo inacheza dhidi ya Maveterani Yanga ambapo timu hiyo ikiwa nyuma kwa mabao 2-1 aliona isiwe tabu kwa kuamua kuingia uwanjani baada ya mshambuliaji mmoja…

Read More

Mario asapraizi mashabiki kwa pikipiki

MSANII wa Bongo Fleva, Omary Ally Mwanga ‘Marioo’ amewafanyia sapraizi mashabiki wa Yanga kutokana na aina  ya uingiaji wake Uwanja wa Benjamin Mkapa kutumbuiza sherehe za kilele cha Wiki ya Mwananchi. Kabla ya msanii huyo kuingia yalianza kupigwa mafakati juu, walifuatilia waendesha bodaboda waliozunguka uwanja akiwamo naye akiendesha yake, jambo ambalo lilifanya mashabiki kupata vaibu…

Read More