
BillNass aingia kitofauti kwa Mkapa
MSANII wa kizazi kipya ‘BillNass’ atua kivingine katika uwanja wa Benjamin Mkapa huku akitoa burudani ili washangaza mashabiki. Staa huyo alitua na kikundi chake kikiwa kimebeba vitu vilivyoonekana kama Ungo kumbe ni picha za wachezaji wa Yanga. Huyu ni msanii wa pili kuliamsha katika siku hii ya Wananchi, baada ya kutoka Christian Bella, ambaye nae…