Shiza Kichuya awataja Chasambi, Balua

WINGA wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya amesema zama alizokuwa nazo za ubora kwa sasa zimeisha na anawaona Ladack Chasambi na Edwin Balua wanaokipiga Simba kuwa ndio wachezaji wazuri wanaoweza kurithi ufalme wake, iwapo tu kama watapata nafasi ya kucheza mara kwa mara kwani wanajua. Kichuya aliyewahi kutamba na Mtibwa Sugar, Simba na Namungo mbali na…

Read More

Watoto 1,500 wasubiri matibabu ya moyo JKCI

  RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, anatarajiwa kuongoza harambee ya kuchangia matibabu ya watoto 1,500 wanaougua magonjwa mbalimbali ya moyo ili wapate matibabu kwenye Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Naibu Spika wa…

Read More

Benki ya NBC Yashiriki Mbio za Ruangwa Marathon, Yasisitiza Dhamira yake Kuchochea Ukuaji sekta ya Michezo Nchini.

Benki ya Taifa ya Biashara NBC imeshiriki msimu wa pili wa mbio za Ruangwa Marathon 2024 huku ikisisitiza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali za wadau wa michezo nchini kupitia ushiriki, ufadhili, ubunifu na utoaji wa huduma mbalimbali zikiwemo za kifedha mahususi kwa wadau wa sekta hiyo. Dhamira ya benki hiyo ni sehemu…

Read More

Haki, wajibu wa mpiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa

Dar es Salaam. Uchaguzi wa serikali za mitaa ni miongoni mwa muhimili muhimu wa demokrasia inayowezesha ushiriki wa wananchi katika uongozi wa maeneo yao. Uchaguzi huu unatoa nafasi kwa wananchi kuwachagua viongozi wanaowaamini ili kuleta maendeleo na kuboresha huduma za kijamii katika ngazi za mitaa. Hata hivyo, kwa mpiga kura kushiriki kikamilifu katika mchakato huu…

Read More

Halmashuri ya IFakara Mji yatoa elimu ya mpiga kura

Ikiwa imebaki miezi miwili kufanyika uchaguzi wa Serikaliza mitaa, vitongoji na vijiji kufanyika novemba 27 mwaka huu , halmshauri ya Ifakara Mji Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro imezindua kampeni ya kuhamasisha wahamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la mpiga. Mkuu wa Wilaya Kilombero Wakili Dunstun Kyobya amesema kampeni hiyo inatambulika kama Elimu ya mpiga kura imezinduliwa…

Read More

Wenye ulemavu wataka nafasi uchaguzi serikali ya mitaa

Morogoro. Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa ukitarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, watu wenye ulemavu wameiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kuwapa nafasi ya kushiriki kusimamia uchaguzi kama ilivyo kwa watu wengine. Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi Wilaya ya Morogoro, Aisha Abdalah amesema ili watu wenye ulemavu huo waweze kushiriki kusimamia uchaguzi, chama…

Read More