BillNass aingia kitofauti kwa Mkapa 

MSANII wa kizazi kipya ‘BillNass’ atua kivingine katika uwanja wa Benjamin Mkapa huku akitoa burudani ili washangaza mashabiki. Staa huyo alitua na kikundi chake kikiwa kimebeba vitu vilivyoonekana kama Ungo kumbe ni picha za wachezaji wa Yanga. Huyu ni msanii wa pili kuliamsha katika siku hii ya Wananchi, baada ya kutoka Christian Bella, ambaye nae…

Read More

Yanga noma, yatawala kila kona

YANGA imeendelea kufanya vizuri kila kona baada ya kikosi hicho cha Maveterani kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Wasanii, katika mchezo wa utangulizi kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi. Hizi zote ni shamra shamra za kuchangamsha siku ya Wananchi, huku mechi hiyo ikiwaacha mashabiki na vicheko maana licha ya ushindani mkubwa…

Read More

Kwa Mkapa mambo yameanza kunoga

NYOMI ya mashabiki wa Yanga ikiwa imefurika nje, walioingia ndani wanaendelea na burudani ya muziki, huku mhamasishaji wa tamasha la wiki la Mwananchi, Dakota akiifanya kazi yake vyema. Ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, mashabiki wanaendelea kuingia, huku zikipigwa nyimbo za wasanii mbalimbali Dakota akiwa anawahamisha. Yanga leo inafanya tamasha lao, linalotumika kutambulisha kikosi chao…

Read More

Funga Kazi… Nyie Hamuogopi! | Mwanaspoti

UKIWA shabiki wa Yanga leo una jambo moja tu la kufanya kama ni siku ya kuabudu basi nenda kwanza kamshukuru Mungu, kisha ukitoka kaivae uzi wa klabu hiyo, weka fedha mfukoni na usisahau tiketi yako na ukiona vipi beba na vuvuzela kwena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kitachoendelea huko unakijua. Ndio, si unajua kwamba Wananchi…

Read More

Bella, Konde Boy hawana jambo dogo

MASHABIKI wa Yanga mzuka umepanda wakati Kilele cha Mwananchi kitakapohitimishwa kesho Kwa Mkapa, jijini Dar es Salaam huku shoo nzima ikiachwa chini ya Harmonize a.k.a Konde Boy akishirikiana na Christian Bella pamoja na wakali wengine kulipamba tamasha hilo la sita tangu liasisiwe mwaka 2019. Harmonize aliyeachia wimbo maalumu wa tamasha hilo, ataliamsha mapema pamoja na Mfalme…

Read More

Kilele cha Wiki ya Mwananchi… Shoo ya kibingwa

WANANCHI mzuka umepanda wakati klabu ya Yanga ikihitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi ikiwa na kauli mbiu ya Nyie Hamuogopi, kinachofanyika leo Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sherehe maalumu ambazo uashiria msimu mpya. Tamasha hilo huchagizwa na wasanii mbalimbali ambao hujitokeza kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili…

Read More