Nandy aeleza sababu ya kuvaa vazi la Kisamia, asema amevutiwa na Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, ameweka wazi sababu ya kuamua kuvaa vazi ambalo amelifananisha na mtindo wa mavazi anayopendelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Nandy amesema amevutiwa na uvaaji huo wa Rais Samia kiasi cha kuamua kuiga, akieleza kuwa…