Alikiba azindua rasmi Crown TV, chaneli ya wasanii wote

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Ali Kiba, amezindua rasmi kituo chake cha televisheni, Crown TV, ambacho kitakuwa kinapatikana kupitia Azam TV chaneli namba 415. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo, jijini Dar es Salaam, Ali Kiba alibainisha kuwa Crown TV ni jukwaa mahsusi kwa wasanii wa aina zote za sanaa,…

Read More

Dk Mpango ataja sababu sita hali mazingira kutokuwa nzuri

Dodoma. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameeleza sababu sita zinazochangia hali mbaya ya mazingira nchini, ikiwemo tuhuma kwa baadhi ya wafanyabiashara wa mkaa kuwa na ushawishi mkubwa kwenye uamuzi. Sababu nyingine amesema ni sheria kinzani, kutotosheleza kwa vitalu vya miche, vifaa vya kukusanyia taka, wenye uwezo mdogo kutomudu gharama za nishati safi, kasi ya…

Read More

Mama Kanumba: Sijawahi kuangalia filamu za Kamnumba

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mama wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa, amesema kwamba hajawahi kuangalia filamu ya mwanae tangu alipofariki kwa sababu zinamletea maumivu ya kihisia. Alieleza hisia zake kwenye Tamasha la Faraja ya Tasnia 2024 lililofanyika Septemba 7, 2024, jijini Dar es Salaam. Tamasha hili lina lengo la kuwaenzi wasanii na wanahabari waliotangulia…

Read More