Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Burudani

  • Home
  • Burudani
  • Page 42
Burudani

ORYX YAMPA UBALOZI SHILOLE KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

July 4, 2024 Admin

NA MWANDISHI WETU, MICHUZI TV KATIKA kuunga jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia, Mama Lishe

Read More
Burudani

Aliyekamatwa kwa kuchoma picha ya Rais ahukumiwa faini Sh5 milioni au miaka miwili jela

July 4, 2024 Admin

Mbeya. Kijana Shadrack Chaula (24) mkazi wa Kijiji cha Ntokela, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya amehukumiwa faini ya Sh5 milioni au kifungo

Read More
Burudani Michezo

IBENGE: Aziz Ki kila kocha anamtaka, Kuishi Sudan sio mchezo

July 3, 2024 Admin

UKIONDOA umaarufu na hadhi yake katika soka la Afrika, kocha mkuu wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge ni miongoni mwa wanadamu wapole wenye ukarimu

Read More
Burudani

Mvutano wa kisheria, tuhuma kuchoma picha ya Rais

July 3, 2024 Admin

Dar/Mbeya. Siku nne tangu Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limkamate Shadrack Chaula (24), kijana anayetuhumiwa kuchoma moto picha ya Rais Samia Suluhu Hassan, suala hilo

Read More
Burudani

WASANII WA FILAMU BONGO KUJIFUNZA ZAIDI KOREA KUSINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 3, 2024 Admin

Balozi wa Tanzania Korea Kusini, Ndg. Togolani Edriss Mavura amethibitisha kupokea ugeni wa Wasanii wa Filamu Tanzania nchini humo na kufanya mazungumzo ya namna ya

Read More
Burudani

BALOZI MAVULA AFANYA KIKAO NA MWENYEKITI WA MOM PAMOJA NA WASANII TANZANIA

July 3, 2024 Admin

Mapema leo, mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao (MOM) akiongoza wasanii wa Filamu Tanzania kwenye kikao rasmi na Balozi wa Tanzania nchini Korea

Read More
Burudani

Msanii Dura King aachia EP mpya ‘Inception’, awakonga mashabiki

July 2, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital DOUALA, Cameroon – Msanii anayekuja kwa kasi barani Afrika, Dura King, ameendelea kuwapa raha mashabiki zake kwa kuachia albamu fupi

Read More
Burudani

ALIYECHOMA PICHA YA RAIS SAMIA AKAMATWA MBEYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 2, 2024 Admin

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia Kijana Shadrack Yusuph Chaula [24] Msanii wa Sanaa ya uchoraji, Mkazi wa Kijiji cha Ntokela, Wilaya ya Rungwe mkoa

Read More
Burudani

Polisi Mbeya yamkamata msanii anayedaiwa kuchoma picha ya Rais Samia

July 2, 2024 Admin

Mbeya. Msanii wa sanaa ya uchoraji, Shadrack Chaula (24) amejikuta akiingia matatani baada ya kujirekodi video fupi akitoa maneno makali dhidi ya Rais Samia Suluhu

Read More
Burudani

Polisi Mbeya yamkamata msanii aliyechoma picha ya Rais Samia

July 2, 2024 Admin

Mbeya. Msanii wa sanaa ya uchoraji, Shadrack Chaula (24) amejikuta akiingia matatani baada ya kujirekodi video fupi akitoa maneno makali dhidi ya Rais Samia Suluhu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 41 42 43 … 50 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.