Alikiba: Nipo tayari kwa shoo ya viwango

KWA mara nyingine tena, mabibi na mabwana, wavulana kwa wasichana, mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ ndiye atakuwa kinara wa utoaji burudani katika tamasha la Simba Day, Agosti 3 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa huku mwenyewe akifunguka juu ya hilo. Julai 24, akiwa Morogoro, Alikiba alitangazwa kama mtumbuizaji mkuu katika…

Read More

Ahmed Ally amaliza utata wa Dulla Makabila Simba Day

MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amemaliza utata juu ya  msanii wa muziki wa Singeli, Dulla Makabila kuhusu kutumbuiza katika Tamasha la Simba Day, Jumamosi, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Ahmed Ally ameliambia Mwanaspoti, mashabiki wa Simba watulie kwani klabu hiyo haikumtangaza Dulla  atatumbuiza siku hiyo na hata akiwemo kwenye orodha…

Read More

Mtatiro na mwenzake watoa angalizo uchaguzi wa TLS

  WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, ukitarajiwa kufanyika kesho Ijumaa na kumpata Rais wa kukiongoza chama hicho miaka mitatu, wakili Julius Mtatiro na Ally Kileo wamewachambua kwa undani wagombea hao sita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mawakili hao wanaogombea kwenye uchaguzi huo ni pamoja na Boniface Mwabukusi, Ibrahim Bendera,…

Read More

RAYVANNY AIBUKIA DEEDS MAGAINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Muziki wa Tanzania unaendelea kuvuma kimataifa kupitia juhudi za wasanii wa Bongofleva, ambapo Rayvanny, staa wa Next Level Music, amejipatia nafasi ya kuonekana kwenye jarida maarufu la Afrika, ‘Deeds Magazine.’ Jarida hili linaangazia vipaji na ubunifu kutoka Nigeria na Afrika kwa ujumla. ‘Deeds Magazine,’ imemtaja Rayvanny kama Msanii bora wa kidijitali, akieleza maono yake ya…

Read More

Rehema: Ngumi hadi u-dj, konda, bodaboda

KATIKA mfululizo wa Mwanaspoti kukuletea simulizi tamu za mabondia wa ngumi za kulipwa, tumefunga safari hadi Bagamoyo mkoani Pwani kukutana na bondia Rehema Abdallah wa Sharifa Boxing Gym. Siyo bondia mwenye jina katika mchezo wa ngumi lakini ndiyo bondia anayeshikilia rekodi ya kucheza mapambano mengi bila ya kupoteza kwa lugha ya majahazi tunasema ‘undefeated’ Imetuchukua…

Read More