Kumekucha Mbeya City Day, Jiji litasimama

WAKATI wadau mashabiki wa soka wakisubiri tukio la Mbeya City Day, uongozi wa timu hiyo umesema maandalizi yanaenda vyema na wamejipanga kuwapa raha wakazi wote wa jiji hilo. Awali tukio hilo lilikuwa lifanyike Agosti 17 mwaka huu, kisha kusogezwa hadi Agosti 31, lakini sasa ni rasmi litafanyika Septemba 7 ambayo ni Jumamosi ya wiki hii,…

Read More

Chanzo, hatari ya wanafamilia kuchukiana

Katika jamii zetu, familia imeendelea kuwa nguzo muhimu ya malezi, upendo, na mshikamano. Hata hivyo, kumekuwa na ongezeko la visa vya familia kuvunjika kutokana na kutokuelewana, chuki zilizokomaa, na ukosefu wa mawasiliano kati ya wazazi na watoto au kati ya ndugu wa tumbo moja. Migogoro hii ina athari kubwa na imeendelea kuleta kwa baadhi ya…

Read More

Dora wa Jua Kali yeye na Pacome tu!

MSANII nyota wa filamu nchini anayetamba kwenye tamthilia ya Jua Kali, Wanswekula Zacharia ‘Dora’ humwambii kitu kuhusiana na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua anayemkosha kutokana na aina yake ya uchezaji uwanjani. Dora akijibu swali aliloulizwa na Mwanaspoti wakati akiwa live katika mtandao wa TikTok juu ya mchezaji gani Tanzania anakubali uchezaji wake, ndipo alipomtaja…

Read More

Watumiaji wa mitandao wanavyokoswa koswa kutapeliwa

Dar es Salaam. Baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii ya X, Facebook na Instagram wamesimulia namna wanavyopitia kadhia ya majaribio ya kutapeliwa na watu wasiojulikana. Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti wamesema kupitia mitandao hiyo kuna wimbi la watu wanaowashawishi kuingia katika biashara mtandao ya pesa zijulikanazo kama Cryptocurrency pamoja na utapeli mwingine. Jamal…

Read More

Picha: Muleba Festival kutokea Mkoani Kagera

Huu ni muendelezo wa report za Muleba Festival kutokea hapa Mkoani Kagera,na hii ni video ikiwaonyesha wasanii wengine kutoka Dar Es Salaam akiwemo Dullah Makabila,Chino wanaman,Missomisondo yaaani wazee wa Makoti na mkongwe Juma Nature ambao wamewasili Mkoani Kagera na kupitishwa katika viunga vya manispaa ya Bukoba ambapo wameshare love na mashabiki zao wa maeneo hayo…

Read More

Jay Melody kutoana jasho na Diamond, Alikiba TMA

Na Mwandishi Wetu Kamati ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) leo Agosti 29,2024 imetangaza wanaowania tuzo za muziki nchini, wakianza na vipengele vitatu ambavyo ni ni Mwanamuziki bora wa kiume wa mwaka, wimbo bora wa taarabu wa mwaka na wimbo bora Afrika Mashariki, Kusini na Magharibi. Katika kipengele cha Msanii Bora wa Kiume wa mwaka,…

Read More