WEZI WAMLIZA ELIUD KWA KUMUIBIA MALI KWENYE GARI YAKE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Msanii wa Sanaa ya Vichekesho nchini, Eliud Samwel amesikitishwa na Kitendo cha baadhi ya Watanzania wanaopenda kuwakwamisha wengine au kuwafanya warudi nyuma kimaendeleo. Amefunguka hayo kupitia akaunti yake ya Instagram ambapo amepakia video akieleza kwa masikitiko makubwa namna wezi wamemharibia gari lake, wamemuibia vitambulisho vyake (passport za kusafiria) vitendea kazi vyake, likiwemo vazi lake la…

Read More

Safari ya Msechu kutoka kuwekewa puto hadi kukatwa utumbo

Dar es Salaam. Miongoni mwa mambo yanayoulizwa sana na Watanzania inapochapishwa picha ya msanii Peter Msechu katika mtandao wowote wa kijamii ni maendeleo ya puto alilowekewa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila. Hiyo ni kutokana na wengi kuhisi kuwa puto hilo halikufanyi kazi kutokana na kutoonekana kumpunguza unene alionao na hatimaye Msechu ameiambia Mwananchi kuwa sasa…

Read More

Marioo aitikia wito na kufika katika ofisi za BASATA

Msanii wa kizazi kipya Omary Ally Mwanga Maarufu kama Marioo mapema leo ameitikia wito na kufika katika ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa  lengo ikiwa ni kufanya majadiliano na Katibu Mtendaji wa @basata.tanzania Dkt. Kedmon Mapana kuhusiana na sakata la wimbo wake wa “Iphone users” alioutoa Msanii huyo kuwa na maneno yaliyoleta utata katika…

Read More

Vijiwe vya Bodaboda kuonyesha kazi Dar, Dom

VIJIWE vya Bodaboda vya jijini Dar es Salaam na Dodoma vinatarajiwa kuchuana katika soka ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani nchini. Kamanda wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani, Ramadhan Ng’azi ameyasema hayo leo Jumatano, Agosti 21, 2024. Kamanda huyo alikuwa akizungumzia maadhimisho ya Wiki ya Usalama wa barabarani yanaokwenda sambamba na…

Read More