KISA PAMBA DAY MTANDA AUZA TIKETI ZAIDI YA 5,000

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA MKUU wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda,leo amezindua uuzwaji wa tiketi za kuingilia katika Tamasha la Pamba Day na kuwataka mashabiki na wapenzi wa timu ya Pamba Jiji kuwahi mapema kununua tiketi zao ili kuwahi nafasi. Akizindua uuzwaji wa tiketi hizo katika Uwanja wa Nyamagana,uliofanyika sambamba na mkutano wa wadau kutoa…

Read More