BLAQBONEZ AMEKUJA KIVINGINE KWENYE MUZIKI WA HIP HOP

  Staa wa muziki kutoka Nigeria, Akumefule Chukwuemeka Georg maarufu kama  Blaqbonez anayewakilisha lebo ya Chocolate City Music, Julai 19,20024 leo anatarajia kuachia kazi yake mpya iitwayo  Fire On Me”. Mkali huyo anaachia kazi yake hiyo  huku akiwa amepata mafanikio  makubwa kupitia albamu yake ya tatu iitwayo  “Emeka Must Shine”.  Kwenye ngoma yake hii mpya…

Read More

DULLA MAKABILA, LINEX WAPAMBA TAMASHA LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    Mkali wa Singeli Abdallah Ahmed maarufu Dulla Makabila akiwa jukwaani kutumbuiza katika tamasha hilo la burudani kuelekea uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Kigoma.  Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva na Singeli,  Sande Mangu almaarufu Linex na Abdallah Ahmed maarufu Dulla Makabila leo Julai 18,2024  wameingiza shangwe kwa wakazi wa…

Read More

Taasisi yaja na matembezi kudumisha utulivu Tanzania

Dar es Salaam. Taasisi ya Utulivu Space imejipanga kueneza ujumbe wa amani na umoja miongoni mwa Watanzania kupitia matembezi maalumu yatakayofanyika Jumamosi Julai 20, 2024. Katibu wa taasisi hiyo, Dk Mboni Dk Kibelloh amesema jana Jumanne Julai 16, 2024 kuwa lengo la matembezi hayo ni njia ya kurithisha vijana wa rika mbalimbali kufahamu chanzo cha…

Read More

Filamu 70 zapenya Tamasha la ZIFF

Dar es Salaam. Filamu 70 zitachuana kuwania tuzo kwenye tamasha la 27 la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF) litakaloanza Agosti mosi hadi 4 visiwani Zanzibar. Filamu hizo ni kati ya 3,000 zilizopokewa kutoka mataifa mbalimbali duniani na 70 kupenya kwenye mchujo. Filamu za Afrika Mashariki zilizowasilishwa zilikuwa 354 ambazo kutoka Kenya ni 169, Uganda…

Read More

Utulivu Experience yaandaa Matembezi jijini Dar es Salaam

  Katibu wa Utulivu Experience Dkt.Mboni Kibelloh akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Matembezi na Tamasha jijini Dar es Salaam. Afisa Sanaa Mwandamizi wa Baraza la Sanaa nchini (BASATA) Abel Ndaga  akizungumza kuhusiana na Ushirikiano kati Utulivu Experience na Serikali jijini Dar es Salaam. Picha ya pamoja ya Utulivu Experience mara baada ya kuzungumza …

Read More

TRA yaendelea na utekelezaji maagizo ya Waziri Mkuu 

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wanaendelea na utekelezaji wa maagizo yaliyowekwa na Serikali wakati wa kikao cha wadau cha kujadili na kutafuta suluhisho la mgogoro wa wafanyabiashara hasa wale wa kariakoo. Amesema mpaka sasa wamekamilisha utengenezaji wa mifumo miwili ikiwemo wa kutoa nyaraka za manunuzi na wa bei elekezi…

Read More