ZARI NA SHAKIB WATIBUANA KISA DIAMOND – MWANAHARAKATI MZALENDO
Sintofahamu imezuka kati ya mwanasoshalaiti wa Uganda Zari Hassan na mume wake, Shakib Cham Lutaaya, kufuatia ujio wa ghafla wa Diamond Platnumz katika nyumba yao ya kifahari nchini Afrika Kusini kwa sherehe ya kuzaliwa ya binti yao Tiffah aliyefikisha miaka 9. Diamond, baba wa binti wa Zari, alisafiri hadi Afrika Kusini kumshangaza Tiffah wakati akisherehekea kutimiza…