Simulizi waumini wanavyolizwa pesa kanisani-1

Dar es Salaam. Kama ilivyo katika mataifa mbalimbali Afrika, nchini Tanzania, aina mpya ya viongozi wa dini inajitokeza, ikitumia mtaji wa watu maskini kujikusanyia mali. ‘Manabii’ hawa wa kisasa wameigeuza imani kuwa biashara yenye faida kubwa, wakitumia udhaifu wa wafuasi wao kujipatia mamilioni ya fedha. Uchunguzi wa Mwananchi umebaini licha ya ‘manabii’ na ‘mitume’ hawa kuwa…

Read More

Simulizi waumini wanavyolizwa pesa kanisani

Dar es Salaam. Kama ilivyo katika mataifa mbalimbali Afrika, nchini Tanzania, aina mpya ya viongozi wa dini inajitokeza, ikitumia mtaji wa watu maskini kujikusanyia mali. ‘Manabii’ hawa wa kisasa wameigeuza imani kuwa biashara yenye faida kubwa, wakitumia udhaifu wa wafuasi wao kujipatia mamilioni ya fedha. Uchunguzi wa Mwananchi umebaini licha ya ‘manabii’ na ‘mitume’ hawa kuwa…

Read More

Waumini wanavyolizwa fedha kanisani | Mwananchi

Dar es Salaam. Kama ilivyo katika mataifa mbalimbali Afrika, nchini Tanzania, aina mpya ya viongozi wa dini inajitokeza, ikitumia mtaji wa watu maskini kujikusanyia mali. ‘Manabii’ hawa wa kisasa wameigeuza imani kuwa biashara yenye faida kubwa, wakitumia udhaifu wa wafuasi wao kujipatia mamilioni ya fedha. Uchunguzi wa Mwananchi umebaini licha ya ‘manabii’ na ‘mitume’ hawa kuwa…

Read More

Michango yamtoa gerezani aliyechoma picha ya Rais

Mbeya.  Siku nne tangu kijana Shadrack Chaula (24), aliyechoma picha ya Rais kuhukumiwa kulipa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili, hatimaye michango ya wananchi imefanikiwa kumtoa katika Gereza la Ruanda Mkoa lililoko mkoani Mbeya. Shadrack aliyekamatwa kwa madai ya kuchoma picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na kushtakiwa kwa kosa la kutoa…

Read More

BAJANA: Ishu ya Simba  ilikuwa siriazi

DIRISHA kubwa la uhamisho linaendelea kushika kasi kwa klabu mbalimbali zikiwamo za Ligi Kuu Bara hasa Simba, Yanga na Azam FC ambazo zimekuwa gumzo zaidi kutokana na sajili za kibabe ambazo zimekuwa zikifanya tangu dirisha hili limefunguliwa. Kati ya mijadala mikubwa kwa mashabiki kila kona kuanzia kwenye mitandao ya kijamii hadi vijiwe vya kahawa, ni…

Read More

Halotel Tanzania kugawa zawadi Kemkem Maonyesho ya SabaSaba

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Halotel Tanzania inayo furaha kubwa kutangaza kuwa itaweka kumbukumbu mpya kwenye Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SabaSaba) mwaka huu kwa kugawa zawadi kemkem kwa wateja wake. Tukio hili limeanza rasmi Julai 28, ambapo wateja wote waliotembelea banda la Halotel walipata nafasi ya kushinda zawadi…

Read More

Picha| Tikiti la kampuni ya East West Seed

Balozi wa Kampuni ya East West Seed yenye Makao Makuu yako mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, Msanii Mrisho Mpoto, akionyesha Tikiti Maji lililozalishwa na kampuni hiyo Dar es Salaam Leo Julai 7,2024 Kiwakati wa Maonyesho ya 48 ya Biashara maarufu Sabasaba yenye kauli mbiu ya Tanzania Mahali sahihi pa Biashara na Uwekezaji. Kulia ni Afisa Kilimo…

Read More