Seine-sational! Paris yatoa kwaheri ya ushindi kwa Olimpiki – DW – 12.08.2024

Cruise aliteremka kwenye waya mbele ya watazamaji 71,500, akashika bendera ya olimpiki na kurukia pikipiki, tukio lililowachangamsha wanariadha na mashabiki waliofurika katika uwanja wa Stade de France. Katika dondoo ya kile ambacho ulimwengu unaweza kutarajia wakati Michezo hiyo itakapoelekea Los Angeles mnamo 2028, nyota huyo wa “Mission Impossible” kisha alionyeshwa akipanda ndege na kuruka angani…

Read More

MBUNGE KOKA KULETA MAGEUZI YA KUKUZA VIPAJI KWA WASANII

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kukuza na kuibua vipaji vya wasanii wa fani mbali mbali ameweka mikakati kabambe kwa ajili ya kuanzisha kliniki maalumu ambayo itaweza kuwapa fursa vijana waweze kuonyesha vipaji walivyonavyo ili waweze kutambulika zaidi…

Read More

Pilsner Lager’s New Campaign Kicks Off with a Roaring Celebration at the Benjamin Mkapa National Stadium

  Where were you last weekend if not at the National Stadium??? On a hot Saturday afternoon, Pilsner Lager, in partnership with Simba Sports Club launched a new campaign “Furahia Kila Ushindi na #PilsnerMbili”, meaning “Celebrate Every Win with #PilsnerMbili” This grand event at the Benjamin Mkapa National Stadium came alive with echoing cheers and…

Read More

WCB ILIVYOMUHOFIA RICH MAVOKO HADI KUMLAZIMISHA WAUNGANE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Producer maarufu Mazuu wa Mazuu Records amefunguka kuhusu changamoto kubwa alizokutana nazo wakati wa safari ya muziki ya msanii Rich Mavoko, akisisitiza kuwa licha ya mafanikio, kulikuwa na vikwazo vingi ambavyo vilihitaji uvumilivu na juhudi kubwa. Mazuu, akizungumza kwenye kipindi cha *Planet Bongo* cha East Africa Radio, alieleza kuwa moja ya nyimbo ambazo zilikutana na…

Read More

Tulieni, sasa ni zamu ya Pamba Day!

BAADA ya wikendi iliyopita nchi kuwa bize kwa matamasha ya Simba, Yanga jijini Dar es Salaam na Azam Kigali, Rwanda, kesho ni zamu ya Jiji la Mwanza na litapokea wageni mbalimbali kwa ajili ya tamasha la klabu ya Pamba Jiji itakayokuwa inahitimisha kilele cha tamasha la Pamba Day. Tamasha hilo litafanyika kesho kwenye Uwanja wa…

Read More

SI MCHEZO… Ngoma zao zinatembea

BONGO Fleva inazidi kuchacha mbuga.Sio kwenye soko la ndani tu,m hadi kimataifa na tofauti ya miaka ya nyuma ilikuwa wimbo kutoka nje ya mipaka ya nchi, huwa ni jambo la kushangaza na litazungumzwa kila siku. Hata hivyo, miaka ya karibuni imekuwa ni kawaida na wasanii wa Bongo Fleva wameliteka soko la muziki duniani na kuanzia…

Read More

Huku nako pamechangamka! | Mwanaspoti

ACHANA na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana. Sahau kuhusu Simba Day na Wiki ya Mwananchi matamasha yaliyofanyika wikiendi iliyopita. Kesho na kweshokutwa huko mkoani nako kuna burudani ya kukata na shoka wakati klabu nne tofauti za Ligi Kuu zitakapofanya matamasha ya kuukaribisha msimu mpya wa 2024-2025. Mashabiki wa soka wa mikoa ya Kigoma, Singida, Mwanza…

Read More