Wasanii wa Tanzania wakutana na star mkubwa sana wa Korean drama, Son Ye-jin.

Balozi wa Tanzania Korea, Mh. Togolani Edriss Mavura ameambatana na wasanii aliowaalika kufanya ziara Korea kusini kwaajili ya kuimarisha mahusiano na kubadilishana ujuzi katika soko la filamu. Wasanii walikutana na Son Ye-jin kubadilishana mawazo na kisha kukaa na watengeneza filamu wakubwa Cheol-ha Lee na Yohwan KIM. Director Cheol-ha Lee amesema yupo katika maandalizi ya filamu…

Read More

Watuhumiwa walioteka 100 hawajafikishwa mahakamani, THRDC wataka tume huru

Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umetoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume huru ya kuchunguza matukio yote ya utekaji kuanzia mwaka 2016 hadi sasa hasa ikizingatiwa hata katika matukio makubwa ya utekaji hakuna watuhumiwa waliokamatwa na kufikishwa mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema hatua hiyo itasaidia kuchunguza matukio…

Read More

Aliyechoma Moto Picha ya Mhe, Rais Sania Suluhu Hassan Jela Miaka Miwili – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mahakama ya wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, imemhukumu kwenda jela miaka miwili au faini ya milioni 5 Shadrack Chaula kijana ambaye video yake ilisambaa mitandaoni akimkashifu na kuchoma picha inayomuonesha Rais Samia Suluhu Hassan Ikumbukwe kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamin Kuzaga,Julai 2 mwaka huu ilieleza kuwa…

Read More