
Wasanii wa Tanzania wakutana na star mkubwa sana wa Korean drama, Son Ye-jin.
Balozi wa Tanzania Korea, Mh. Togolani Edriss Mavura ameambatana na wasanii aliowaalika kufanya ziara Korea kusini kwaajili ya kuimarisha mahusiano na kubadilishana ujuzi katika soko la filamu. Wasanii walikutana na Son Ye-jin kubadilishana mawazo na kisha kukaa na watengeneza filamu wakubwa Cheol-ha Lee na Yohwan KIM. Director Cheol-ha Lee amesema yupo katika maandalizi ya filamu…