Mvutano wa kisheria, tuhuma kuchoma picha ya Rais

Dar/Mbeya. Siku nne tangu Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limkamate Shadrack Chaula (24), kijana anayetuhumiwa kuchoma moto picha ya Rais Samia Suluhu Hassan, suala hilo limeibua mvutano wa kisheria, ikielezwa hakuna sheria iliyovunjwa. Akizungumza na Mwananchi leo Julai 3, 2024 kuhusu kosa la kijana huyo na lini atafikishwa mahakamani, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,…

Read More

WASANII WA FILAMU BONGO KUJIFUNZA ZAIDI KOREA KUSINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Balozi wa Tanzania Korea Kusini, Ndg. Togolani Edriss Mavura amethibitisha kupokea ugeni wa Wasanii wa Filamu Tanzania nchini humo na kufanya mazungumzo ya namna ya kuendeleza ushirikiano na Korea kusini ili kupata ujuzi na uzoefu zaidi katika kukuza Tasnia ya Filamu nchini Tanzania. “Nimefanya mazungumzo na wasanii wa filamu wa Tanzania waliofika Ubalozini leo asubuhi….

Read More

Msanii Dura King aachia EP mpya ‘Inception’, awakonga mashabiki

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital DOUALA, Cameroon – Msanii anayekuja kwa kasi barani Afrika, Dura King, ameendelea kuwapa raha mashabiki zake kwa kuachia albamu fupi mpya, “Inception EP,” kwenye majukwaa yote ya muziki mtandaoni. “Inception EP” ina jumla ya nyimbo nne kali ambazo ni “Ricky Lover,” “Addicted,” “Lota Love,” na “See Finish,” ambazo zinajumuisha ladha…

Read More