Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Burudani

  • Home
  • Burudani
  • Page 48
Burudani Michezo

Mandonga: Ndege ilipotikisika ilitaka kunitoa roho (2)

May 6, 2024 Admin

BONDIA Mandonga ambaye jina lake halisi ni Karim Said, amefanya mahojiano maalum na Mwanaspoti na baada ya jana kueleza mambo mengi kuanzia ajira yake ya

Read More
Burudani Michezo

Wakazi 3000 kuelimishwa namna ya kupambana na wanyama wakali

May 2, 2024 Admin

ZAIDI ya wakazi 3000 waishio kwenye vijiji vya karibu na hifadhi ya Taifa ya Serengeti wanatarajiwa kupatiwa elimu ya namna ya kukabiliana na changamoto za

Read More
Burudani Magazeti

Mshairi nguli Amiri Andanenga afariki dunia, azikwa

May 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mwanasheria na mwandishi wa vitabu vya riwaya za fasihi za Kiswahili na Kiingereza, Charles Mroka amemuelezea hayati Amir Andanenga kama mtu aliyekuwa

Read More
Burudani

DEBLINKZ WAMEKUJA TENA NA BABY NA FIRE

April 30, 2024 Admin

DEBLINKZ ni wasanii wawili walioamua kuungana pamoja na kutengeneza kundi la muziki kutoka nchini Nigeria wakiwa wanafahamika kwa majina halisi kama Onyekachi na Onyebuchi Ikeh

Read More
Burudani Michezo

Serikali kuunda timu tatu kuelekea Afcon 2027

April 30, 2024 Admin

Dodoma. Serikali ina mpango wa kuunda timu tatu imara za soka za Taifa kulingana na umri ambazo zitashiriki mashindano ya Afcon 2027 na mengine ambayo

Read More
Burudani

Majaliwa: Chunguzeni watoto wenye usonji mapema

April 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya kuongeza vituo vya huduma za uchunguzi na utambuzi wa mapema wa ugonjwa

Read More
Burudani

TUSIWATENGE WALA KUWANYANYAPAA WATOTO WENYE USONJI – MAJALIWA

April 28, 2024 Admin

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuacha kuwanyanyapaa watoto na watu wanaoishi na Usonji, magonjwa ya mfumo wa fahamu pamoja na

Read More
Burudani Michezo

Hizi ndizo tabia za Diarra, Aucho kambini Yanga

April 27, 2024 Admin

Kikosi cha Yanga jioni ya jana kilikuwa uwanjani kumalizana na Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku mastaa wa timu hiyo, Djigui Diarra,

Read More
Burudani

WAZIRI DKT. NDUMBARO ASISITIZA WABUNIFU KAZI ZA SANAA KUJISAJILI

April 27, 2024 Admin

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewasisitiza wasanii, wandishi wa vitabu na wabunifu kujisajili na kusajili kazi zao katika ofisi ya

Read More
Burudani

WASHEREHESHAJI WATAKIWA KUTUMIA KISWAHILI FASAHA

April 27, 2024 Admin

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewaasa Washereheshaji kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha na kuibua misamiati mipya ambayo inaweza kichakatwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 47 48 49 50 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.