Siri ya ubilionea wa matajiri wakubwa duniani
Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa duniani kuna mabilionea wa Dola za Marekani (wenye ukwasi unaozidi Sh2.7 trilioni) takribani 3,200. Kati ya hao, zaidi ya 1,000 wanatokea Amerika ya Kaskazini, zaidi ya 900 wanatokea Ulaya, Asia wana zaidi ya 800, huku Afrika ikiwa nao chini ya 50. Katika kila bara duniani, kuna mtu mmoja ambaye ni tajiri…