
Polisi Mbeya yamkamata msanii anayedaiwa kuchoma picha ya Rais Samia
Mbeya. Msanii wa sanaa ya uchoraji, Shadrack Chaula (24) amejikuta akiingia matatani baada ya kujirekodi video fupi akitoa maneno makali dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan na kisha kuchoma picha ya kiongozi huyo mkuu wa nchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga ameliambia Mwananchi Digital leo Jumanne Julai 2, 2024 kuwa mtuhumiwa huyo…