Tyla aanza kwa kishindo katika Tuzo za BET 2024

Mwanamuziki kutokea Afrika ya Kusini mwnadada Tyla aliufanya umati wa watu kucheza  wimbo wimbo wake mpya zaidi katika Tuzo za BET 2024 ambao umetamba kwa muda sasa. Jumapili, Juni 30, kwa mara ya kwanza katika usiku wa kitamaduni mkubwa zaidi katika Ukumbi wa Tamthilia ya Peacock huko Los Angeles alitoa burudani isiyosahaulika huku Gunna na…

Read More

Kanye West aripotiwa kutua Moscow Russia

Moscow. Rapa wa Kimarekani asiyeishiwa vituko kila kukicha, Kanye West ameripotiwa kuwepo jijini Moscow nchini Russia.  Kuwapo kwa nyota huyo wa muziki kutoka nchini Marekani, kumeripotiwa na vyombo vya habari vya nchini humo     leo Jumapili, Juni 30, 2024 vikimnukuu mtayarishaji maarufu wa muziki wa nchini humo, Yana Rudkovskaya. Kanye yupo nchini humo wakati wasanii wengi…

Read More

Msimu wa 4 wa tamasha la HipHop asili 2024

Kwa mara ya kwanza, mwaka 2024, Mji wa Bagamoyo utakuwa mwenyeji wa Kilele cha msimu wa Nne (4) wa Tamasha la HipHop Asili, utakaofanyika tarehe 28 – 29 Juni, 2024, katika Chuo cha Sanaa cha Bagamoyo (TASUBA). Ambapo wataalamu wa sanaa, wasanii kutoka pembe zote za dunia watakutana kusherehekea utamaduni wa HipHop. Mwaka huu tamasha…

Read More

KUAMBIANA INVESTMENT WAALIKA WATEJA WAO KWENYE BONANZA

KAMPUNI ya Kuambiana Investment yandaa Bonanza Kwa ajili ya Kuwakutanisha karibu wateja wao na kuweka Sawa Miili yao Kwa Michezo mbalimbali . Akizungumza na Wanahabari Makao Makuu ya ofisi ya Kuambiana Sinza Jijini Dar es Salaam Meneja wa Kampuni hiyo Anna Minja amesema Wanatambua mchango mkubwa kutoka kwa Wateja wao ambao wamekuwa wakishirikiana nao kwa…

Read More

Meneja wa Ariana Grande ,Justin Bieber,Scooter Braun atangaza kujiondoa kwenye tasnia ya muziki

Bingwa wa tasnia ya muziki nchini Marekani Scooter Braun ametangaza kustaafu  biashara ya usimamizi wa muziki. Meneja huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 42, ambaye amehusishwa na wasanii walioorodheshwa kama vile Justin Bieber, Ariana Grande, na Demi Lovato miongoni mwa wengine, anatazamia kuzingatia zaidi jukumu lake la sasa kama Mkurugenzi Mtendaji wa HYBE America,…

Read More