Vinyozi, wasusi, wapigapicha sasa kusajiliwa Basata

Dar es Salaam. Vinyozi, wasusi, wabunifu wa michoro, wapigapicha, wachoraji na wataalamu wengine wa kazi za ubunifu sasa watalazimika kusajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ili kuendesha shughuli zao kihalali nchini Tanzania. Agizo hili jipya linatokana na marekebisho ya kanuni za Basata zilizochapishwa katika Gazeti la Serikali Juni 30, 2025, na kuashiria mabadiliko…

Read More

Jeshi la Polisi laonya wasichana picha za utupu

Tanga. Jeshi la Polisi limewataka wasichana kuepuka kujipiga picha za utupu na kuzihifadhi kwenye simu za mikononi ili kuepuka madhila na udhalilishaji unaoweza kutokea endapo picha hizo zitasambazwa kupitia mitandao ya kijamii. Limesema hata kama mmiliki wa simu hajasambaza picha hizo binafsi, iwapo simu itapotea, kuharibika au kuchukuliwa na mtu mwingine, anaweza kutumia nafasi hiyo…

Read More

Wimbo Mpya : MAP MASTAR MKM Ft. NOBE

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Map Mastar MKM wakishirikiana na Nobe wametambulisha rasmi wimbo wao mpya uitwao “Kiongozi Bora”, audio rasmi ikiwa imewekwa kupitia mtandao wa YouTube chini ya Misalaba Media.  Wimbo huu unakuja ukiwa na ujumbe mzito wa kijamii unaogusa nafasi na wajibu wa viongozi bora katika maendeleo ya taifa, ambapo wasanii hao…

Read More

Mmomonyoko wa maadili kilio elimu ya juu

Unguja. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel Mushi, amesema kutokana na changamoto ya mmomonyoko wa maadili inayowaathiri vijana wa vyuo vikuu, wanapaswa kupewa uelewa wa namna ya kukabiliana na janga hilo. Amesema hayo leo Jumamosi Septemba 27, 2025 akifunga mkutano wa 43 wa Chama cha Washauri Wanafunzi Tanzania (Taccoga1984), uliofanyika…

Read More

Hekaya za Mlevi: Wapinzani hoyahoya mpaka lini?

Dar es Salaam. Siku moja tulishuhudia mtanange wa soka wa kushangaza sana. Lilikuwa “Ndondo Cup” enzi hizo likipigwa mchangani. Wengine walicheza peku, na timu iliyopungukiwa na jezi ilicheza matumbo wazi. Siku hiyo timu ya kitaani iliyokuwa bingwa mtetezi ilicheza fainali dhidi ya mahasimu wao wakubwa.  Walipokutana hawa ilikuwa kama Simba na Yanga, kitaa kizima kilinuka….

Read More