Vipaji vya mastaa Bara nje ya soka

NYAKATI za sayansi na teknolojia kama mtu anataka kipaji chake kiende mbali anahitaji ubunifu na kujua mashabiki wake wanahitaji kitu gani. Ndivyo ilivyo kwa baadhi ya wanasoka wanaoweza wakapata mamilioni nje ya kazi hiyo. Kupitia mitandao ya kijamii kama Instagram, TikTok, Facebook na mingineyo inaweza ikawatoa kwa kuziposti kazi zao ilimradi zipendwe na kupokewa na…

Read More

Hatari kwa wapenda intaneti ya bure

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, baadhi ya watu hupenda kutumia huduma ya mtandao wa intaneti ya bure (Free Wi-Fi) popote pale wanapoikuta, sababu ikitajwa ni kushindwa kumudu gharama za vifurushi au ni mazoea. Hata hivyo, imetahadharishwa kuwa, kuna hatari ya matumizi ya mtandao wa aina hiyo, hasa simu kupekuliwa bila mwenyewe kufahamu. Mwananchi imezungumza na…

Read More

‘Kila la kheri, hatukudai’ maneno ya mwisho kwa Zimbwe Msimbazi

KITENDO kilichofanywa na aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kuwaaga wanachama na mashabiki wa timu hiyo aliyoitumikia kwa miaka 11 kimeibua hisia za mashabiki hao na mastaa mbalimbali waliomtakia kila la kheri. Usiku wa kuamkia jana Tshabalala amewaaga wanasimba kuwa hatakuwa sehemu ya timu hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 11, ndipo walipoivamia akaunti yake…

Read More

Bangi ilivyo fupa gumu Tanzania

Dar es Salaam. Ripoti ya Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya Duniani ya mwaka 2024 imeonyesha bangi bado inaongoza kutumika zaidi duniani, takribani watu milioni 228 waliitumia mwaka 2022. Idadi hiyo ni sawa na asilimia nne ya watu wote duniani, ikiwa ni ongezeko la asilimia 28 katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Kwa mujibu…

Read More

Hatimiliki za ardhi 1,176 zatolewa Sabasaba

Dar es Salaam. Jumla ya hatimiliki 1,176 zimetolewa katika Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yaliyofikia tamati Julai 13, 2025 jijini hapa. Hatimiliki hizo zimetolewa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Fahari ya Tanzania”. Akizungumza baada ya kufungwa kwa maonyesho…

Read More

HATI MILKI ZA ARDHI 1,176 ZATOLEWA MAONESHO YA SABASABA

Na Munir Shemweta, WANMM Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa jumla ya Hati Milki za Ardhi 1,176 wakati wa Maonesho ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yaliyomalizika mwishoni mwa wiki. Katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Fahari ya Tanzania” Wizara ya Ardhi imetoa huduma mbalimbali ikiwemo hati milki za ardhi kwa wamiliki waliokamilisha…

Read More