
AGGY BABY ASHINDA TUZO MBILI ZA AFRICA ARTS ENTERTAINMENT AWARDS
Na Mwandishi Wetu MSANII wa muziki wa Bongo Flavor pamoja na filamu nchini Agness Suleiman ‘Aggy Baby’ ameibuka mshindi wa tuzo mbili tofauti kupitia shindano la Africa Arts Entertainment Awards (EAEA) 2025 zilizotolewa Julai 25, Jijini Dar es Salaam. Mrembo huyo maarufu mwenye vipaji lukuki katika tasnia ya sanaa nchini na ushawishi mkubwa katika jamii,…