Shine TTW ameachia EP ya maisha yake leo!

Mwimbaji mahiri ShineTTW, leo ametoa EP yake mpya iitwayo, ‘The Chosen One’, yenye ngoma zipatazo nane. EP hii sio tu mkusanyiko wa nyimbo nane, lakini ni ngoma zinayoonyesha talanta kubwa ya ShineTTW katika anga ya muziki ya Kiafrika. ‘The Chosen One’ ni EP inaonyesha mtindo wa msanii huyu wa Afro Sentio, ambaye anafanya muziki wa…

Read More

FORUMCIV KUWAJENGEA UWEZO WASANII KUKUZA VIPATO VYAO

SHIRIKA lisilo la kiserikali La Forum CIV Kushirikiana Taasisi ya Kukuza Sanaa Nafasi Art Space zimefanikiwa kuwezesha wasanii kupewa mafunzo kwa kutumia sanaa zao kuwa wana harakati ili waende kuisemea jamii inayo wazunguka kutokana na changamoto mbalimbali zinazo wakumba. Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi wa Nafasi arts space Lilian Hipolyte amesema ushirika huo unalenga kuwawezesha wasanii…

Read More

BoT waja na kampeni dhidi ya mikopo umiza

Dodoma.  Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeidhinisha mpango maalumu wa elimu kwa umma kupitia kampeni ya ‘Zinduka usiumizwe kopa kwa maendeleo’ ukiwa na lengo la kutatua changamoto ya mikopo umiza nchini. Mikopo hiyo ambayo imepachikwa majina mengi ikiwemo kausha damu, komandoo, pasua moyo, kichefuchefu, imekuwa ikitajwa kuwa chanzo cha kufilisika, kujiua, kuvunjika kwa ndoa na…

Read More

WANUFAIKA 08 MRADI WA FEEL FREE WASAINI MIKATABA YAO

WASANII 08 vya Wanufaika na Mradi wa mfuko wa fedha wa kuwawezesha Wasanii (FEEL FREE GRANTEES) kwa mwaka 2024 Wasaini rasmi Mikataba ya kupata fedha za miradi yao. Akizungumza na Wanahabari Ofisi za Taasisi ya Nafasi arts space Mikocheni Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji na Maendeleo ya Sanaa (BASATA) Edward Buganga…

Read More

Usiyoyajua ziara ya Rais Samia Korea Kusini

MWEI 31 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na ujumbe mzito, alisafiri umbali wa kilomita 10,200 kutoka jijini Dar es Salaam hadi jiji la Seoul, Korea Kusini (Jamhuri ya Korea) katika juhudi mpya za kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na taifa hilo lililoendelea kiteknolojia la mashariki ya mbali.  Anaandika Gabriel Mushi … (endelea). Kwa…

Read More