Sloti ya Forest Rock kasino fanya haya ushinde

  KASINO ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua Meridianbet basi umechagua…

Read More

Radio mpya yazinduliwa ‘Malkia Choice Fm 102.5’, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afika

Ni Agosti 2, 2024 ambapo Mke wa Joseph Kusaga aitwae Juhayna Ajmy ametambulisha rasmi Radio yake iitwayo Malkia Choice FM 102.5. Akizungumza katika Sherehe za uzinduzi huo uliofanya katika hoteli ya hyatt Jijini Dar es Salaam alisema..’Malkia Choice FM ni kituo cha kwanza cha redio kinachoongozwa na wanawake nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla, lengo…

Read More

Ubaya Ubwela… Simba Day 2024 si mchezo

Kesho ndio kilele cha Tamasha la Simba Day kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam ambako wenyeji Simba SC wanatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya APR ya Rwanda. Huu utakuwa ni msimu wa 16 wa Tamasha la Simba Day lililoasisiwa mwaka 2009 chini ya uongozi wa Mzee Hassan Dalali na Mwina Kaduguda. Kuelekea…

Read More

Balaa la Simba Day 2024… Unyama sana!

KAMA hadi sasa bado hujanunua tiketi ya Tamasha la Simba Day, baki nyumbani tu. Kwani hiyo kesho, ambapo kutakuwa na pati ya Simba Day, hutaweza kupata uhondo. Mashabiki wa Simba wamefanya unyama sana kwa kuwekwa rekodi mpya kabla ya tamasha hilo lenye historia kubwa nchini, baada ya kumaliza tiketi za kwenda Kwa Mkapa siku tatu…

Read More

DAVID MULOKOZI AWAUNGANISHA WASANII KUTOA BURUDANI

MKURUGENZI wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited, David Mulokozi amesema Watanzania wapenda burudani ya muziki sasa watakuwa na nafasi ya kuwashuhudia wasanii wakongwe wa muziki katika jukwaa moja baada kuingia nao mkataba wa kutangaza bidhaa za kampuni hiyo. David Mulokozi amewataja wasanii hao kuwa ni Juma Nature, Matonya, Ferouz, Daz Baba, Domokaya na wengine…

Read More

Yanga hii… Tabu iko pale pale

YANGA imesharejea nchini kutoka Afrika Kusini ilipoenda kuweka kambi ya siku 10, ikicheza mechi  tatu za kimataifa za kurafiki, ikuiwamo kubeba ubingwa wa Kombe la Toyota, huku mastaa wapya wakimpa kiburi kocha Miguel Gamondi. Katika mechi hizo tatu dhidi ya FC Augsburg ya Ujerumani, TS Galaxy na Kazier Chiefs za Afrika Kusini, kocha Gamondi alionyesha…

Read More

Alikiba: Nipo tayari kwa shoo ya viwango

KWA mara nyingine tena, mabibi na mabwana, wavulana kwa wasichana, mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ ndiye atakuwa kinara wa utoaji burudani katika tamasha la Simba Day, Agosti 3 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa huku mwenyewe akifunguka juu ya hilo. Julai 24, akiwa Morogoro, Alikiba alitangazwa kama mtumbuizaji mkuu katika…

Read More