Konde Boy abeti kuchomewa nyumba Yanga ikifungwa

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul ‘Harmonize’ a.k.a Konde Boy au Jeshi amewapagawisha mashabiki kwa kuwaimba vionjo vya baadhio ya nyimbo zake kisha kumpandisha jukwaani Stephane Aziz Ki mbele ya mashabiki katika Makao Makuu ya klabu hiyo, eneo la Jangwani. Mara baada ya Konde kupanda jukwaani aliwachizisha wanayanga kwa kuimba kionjo cha…

Read More

Afcon 2027 yaipaisha bajeti ya michezo

Hii ni bajeti ya fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 kwa Tanzania kuwa mwenyeji wa michuano hiyo. Hivyo ndivyo unaweza kusema baada Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuongezewa fedha kutoka Sh35.4 bilioni kwa mwaka wa fedha 2023/2024 hadi Sh285.3 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025, imewasilishwa…

Read More

SWAHILI PLUS KUWANYANYUA WASANII WACHANGA BONGOMUVI

WASANII Washauriwa kutengeneza kazi zenye maudhui ya kiasili na kutumia lugha ya Kiswahili fasaha ili kuendelea Kutangaza lugha hiyo Kimataifa na kuvitangaza vivutio vilivyopo Tanzania zaidi. Akizungumza na wadau wa sanaa nchini wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya “Kamatia Furushi” pamoja na chaneli mpya yenye maudhui ya Filamu,katuni kwa watoto “Swahili plus” ,St Toons,St Toonie,St…

Read More