Ahmed Ally amaliza utata wa Dulla Makabila Simba Day
MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amemaliza utata juu ya msanii wa muziki wa Singeli, Dulla Makabila kuhusu kutumbuiza katika Tamasha la Simba Day, Jumamosi, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Ahmed Ally ameliambia Mwanaspoti, mashabiki wa Simba watulie kwani klabu hiyo haikumtangaza Dulla atatumbuiza siku hiyo na hata akiwemo kwenye orodha…