Paredi la Yanga kuanzia kwa Mkapa

KLABU ya Yanga leo imetoa ratiba ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Mei 25, mwaka huu zikiongozwa na paredi kutoka Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam hadi makau ya klabu hiyo, Jangwani. Awali Yanga iliwasilisha maombi kwa Bodi ya Ligi (TPLB) kuomba michezo miwili dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons kukabidhiwa…

Read More

Wanavyuo Dodoma waonja utamu wa chimbo la nyuki

  TAMASHA la Chimbo la Nyuki lililofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, limechagiza vyema shamrashamra zinazoanza za Maadhimsho ya Siku ya Nyuki Duniani huku wanavyuo mbalimbali wa Jijini Dodoma wakifurahi, maonesho mbalimbali ya bidhaa zinazotokana na Nyuki pamoja na Maonyesho ya jukwaani kutoka kwa wasanii mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).  Akizungumza…

Read More

BAISKELI YA MAMA IMEFIKA SAME

Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao (MOM) imeendelea kupokea maombi mengi kutoka kila pande ya Tanzania kutoka kwa ndugu zetu wenye uhitaji wa Baiskeli hizi. Kama Taasisi, tunapenda kutoa shukran zetu za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wasanii na Wadau mbalimbali wapenda maendeleo kwa kuhakikisha kwamba Taasisi inatimiza kile tulichoagizwa na…

Read More

MR MWANYA ATEMBELEA KIJIJI CHA NGURUWE DODOMA

Msanii mkubwa na Maarufu anayejihusisha na sanaa ya uchekeshaji hapa Nchini almaarufu Mr Mwanya ametembelea Kijiji cha Nguruwe kilichopo Zamahero Jijini Dodoma kwa ajili ya kujionea uwekezaji mkubwa unaofanywa na Mkurugenzi wa Kijiji cha Nguruwe Project Simon Mkondya Maarufu kwa jina la Mr Manguruwe. Msanii huyo pia ameweka wazi juu ya uwekezaji alioufanya katika eneo…

Read More

Jinsi ya kutengeneza pesa kwa simu yako

Dar es Salaam. Umewahi kufikiria kuwa simu yako inaweza kukutajirisha kwa kuingiza fedha nyingi, endapo utaitumia kwa usahihi mtandaoni? Eva Damba, mkazi wa Iringa anasema kwa siku huingiza kati ya Sh50,000 hadi Sh90,000 kwa kufanya biashara mtandaoni kupitia mtandao wa WhatsApp bila kukutana na mteja. Shukrani anazitoa kwa mapinduzi ya teknolojia yaliyoleta simu janja. “Simu…

Read More

DKT.MPANGO AZINDUA KAMPENI YA MIAKA 50 YA AFYA KIBAHA

Na Khadija Kalili, Michuzi Tv MAKAMU wa Rais Dkt. Philip Mpango leo Mei 9 amezindua kampeni ya pili ya Mtu ni afya , yenye kauli Mbiu ya Afya yangu Wajibu wangu katika uzinduzi uliofanyika katika viwanja vya Stendi ya zamani ya mabasi Mailimoja Wilayani Kibaha Mkoani Pwani. Katika uzinduzi huo Dkt. Mpango amewataka wananchi kujikinga…

Read More