WASHEREHESHAJI WATAKIWA KUTUMIA KISWAHILI FASAHA

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewaasa Washereheshaji kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha na kuibua misamiati mipya ambayo inaweza kichakatwa na kuwa rasmi katika kukuza lugha hiyo. Mhe. Ndumbaro ametoa rai hiyo tarehe 26, 2024 mjini Songea wakati akifungua mafunzo kwa washereheshaji, wasanii, wapambaji, wazalishaji wa kazi za sanaa ambayo…

Read More

Gardner wa Clouds kuagwa kesho Dar, kuzikwa Jumanne Rombo

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds FM, Gardner Habash utaagwa kesho jijini Dar es Salaam na kuzikwa Jumanne Aprili 23, 2024 mkoani Kilimanjaro. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Kampuni ya Clouds Media Group, mwili huo atazikwa kijijini kwao Kikelelwa, kata ya Tarakea, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro. Gardner…

Read More

Makonda: Walitaka kuniua kwa drone wakashindwa

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka polisi mkoani humo kupambana na dawa za kulevya, akisema alinusurika kifo akipambana na dawa hizo alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.  Amesema kutokana na mapambano hayo, aliwindwa na watu waliotaka kumuua, lakini wakashindwa. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam…

Read More

Mtangazaji wa Clouds Gardner afariki, mastaa wamlilia

Dar es Salaam. Kufuatia taarifa ya kicho cha mtangazaji maarufu wa Kampuni ya Clouds Media, Gardner G Habash, watu mbalimbali wakiwemo wasanii na watu wanaomfahamu wametuma salamu za rambirambi kwa familia yake. Gardner amefariki dunia leo April 20,2024  saa 11 alfajiri  katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete wakati akipatiwa matibabu ya maradhi yaliyomsumbua. Taarifa ya…

Read More

Pembe: Simba wasipofunga mlango, zile 5 zinarudi

MSANII wa vichekesho nchini, Yusuph Kaimu ‘Pembe’ amesema pamoja na matumaini waliyonayo mashabiki wa Yanga kushinda, lakini mastaa wanapaswa kuiheshimu Simba kwani mechi ya watani siyo kujihakikishia pointi tatu, japo akaonya: “Simba wasipofunga mlango vizuri zile tano zinarudi.”. Kauli ya msanii huyo inakuja ikiwa imebaki siku moja kushuhuhudia mchezo wa watani wa jadi kati ya…

Read More