Mtangazaji wa Clouds Gardner afariki, mastaa wamlilia

Dar es Salaam. Kufuatia taarifa ya kicho cha mtangazaji maarufu wa Kampuni ya Clouds Media, Gardner G Habash, watu mbalimbali wakiwemo wasanii na watu wanaomfahamu wametuma salamu za rambirambi kwa familia yake. Gardner amefariki dunia leo April 20,2024  saa 11 alfajiri  katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete wakati akipatiwa matibabu ya maradhi yaliyomsumbua. Taarifa ya…

Read More

Pembe: Simba wasipofunga mlango, zile 5 zinarudi

MSANII wa vichekesho nchini, Yusuph Kaimu ‘Pembe’ amesema pamoja na matumaini waliyonayo mashabiki wa Yanga kushinda, lakini mastaa wanapaswa kuiheshimu Simba kwani mechi ya watani siyo kujihakikishia pointi tatu, japo akaonya: “Simba wasipofunga mlango vizuri zile tano zinarudi.”. Kauli ya msanii huyo inakuja ikiwa imebaki siku moja kushuhuhudia mchezo wa watani wa jadi kati ya…

Read More

Rais Mwinyi: Serikali zinaendelea kushughulikia changamoto za Muungano

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali zote za Tanzania na Zanzibar mbili zinaendelea kuchukua hatua mbalimbali kushughulikia na kupata ufumbuzi wa changamoto za Muungano zinazojitokeza. Amesema utatuzi wa changamoto hizo umezidi kujenga imani kubwa kwa wananchi kuhusu uimara wa Muungano huo. Kwa nyakati mbalimbali juhudi zimekuwa zikichukuliwa na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Mafua: Hadi Diamond aliwahi kukodi cheni kwangu

BURUDANI yake kubwa siku zote kwake imekuwa kupanda juu ya ulingo kama msaidizi wa bondia na ikishindikana kwa bondia wa ndani basi usishangae kumuona akiwa kwenye kona ya bondia mpinzani hata akiwa anatokea nje ya mipaka ya Tanzania. Yaani yale masuala ya uzalendo ambayo serikali kupitia kwa Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Damas…

Read More