
Rais Mwinyi: Serikali zinaendelea kushughulikia changamoto za Muungano
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali zote za Tanzania na Zanzibar mbili zinaendelea kuchukua hatua mbalimbali kushughulikia na kupata ufumbuzi wa changamoto za Muungano zinazojitokeza. Amesema utatuzi wa changamoto hizo umezidi kujenga imani kubwa kwa wananchi kuhusu uimara wa Muungano huo. Kwa nyakati mbalimbali juhudi zimekuwa zikichukuliwa na Serikali ya Jamhuri ya…