Meneja wa Ariana Grande ,Justin Bieber,Scooter Braun atangaza kujiondoa kwenye tasnia ya muziki

Bingwa wa tasnia ya muziki nchini Marekani Scooter Braun ametangaza kustaafu  biashara ya usimamizi wa muziki. Meneja huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 42, ambaye amehusishwa na wasanii walioorodheshwa kama vile Justin Bieber, Ariana Grande, na Demi Lovato miongoni mwa wengine, anatazamia kuzingatia zaidi jukumu lake la sasa kama Mkurugenzi Mtendaji wa HYBE America,…

Read More

Vasa avunja ukimya!! Amvuta Crayon kutoka Mavin

Msanii anayekuja kwa kasi, kutoka Nigeria, Vasa amerejea kwa kishindo, kwa kuachia wimbo wake mpya uitwao “Trabaye”, ambao amemshirikisha msanii wa muziki kutoka lebo ya Mavin, Crayon. Wimbo huu ni miongoni mwa ngoma za mkali huyo zilizopo kwenye project yake ijayo iitwayo Vasa, Book Of Vasa’’ ambayo itatoka wiki chache zijazo. Vasa anayejulikana kwa nyimbo…

Read More

Shine TTW ameachia EP ya maisha yake leo!

Mwimbaji mahiri ShineTTW, leo ametoa EP yake mpya iitwayo, ‘The Chosen One’, yenye ngoma zipatazo nane. EP hii sio tu mkusanyiko wa nyimbo nane, lakini ni ngoma zinayoonyesha talanta kubwa ya ShineTTW katika anga ya muziki ya Kiafrika. ‘The Chosen One’ ni EP inaonyesha mtindo wa msanii huyu wa Afro Sentio, ambaye anafanya muziki wa…

Read More

FORUMCIV KUWAJENGEA UWEZO WASANII KUKUZA VIPATO VYAO

SHIRIKA lisilo la kiserikali La Forum CIV Kushirikiana Taasisi ya Kukuza Sanaa Nafasi Art Space zimefanikiwa kuwezesha wasanii kupewa mafunzo kwa kutumia sanaa zao kuwa wana harakati ili waende kuisemea jamii inayo wazunguka kutokana na changamoto mbalimbali zinazo wakumba. Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi wa Nafasi arts space Lilian Hipolyte amesema ushirika huo unalenga kuwawezesha wasanii…

Read More

BoT waja na kampeni dhidi ya mikopo umiza

Dodoma.  Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeidhinisha mpango maalumu wa elimu kwa umma kupitia kampeni ya ‘Zinduka usiumizwe kopa kwa maendeleo’ ukiwa na lengo la kutatua changamoto ya mikopo umiza nchini. Mikopo hiyo ambayo imepachikwa majina mengi ikiwemo kausha damu, komandoo, pasua moyo, kichefuchefu, imekuwa ikitajwa kuwa chanzo cha kufilisika, kujiua, kuvunjika kwa ndoa na…

Read More

WANUFAIKA 08 MRADI WA FEEL FREE WASAINI MIKATABA YAO

WASANII 08 vya Wanufaika na Mradi wa mfuko wa fedha wa kuwawezesha Wasanii (FEEL FREE GRANTEES) kwa mwaka 2024 Wasaini rasmi Mikataba ya kupata fedha za miradi yao. Akizungumza na Wanahabari Ofisi za Taasisi ya Nafasi arts space Mikocheni Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji na Maendeleo ya Sanaa (BASATA) Edward Buganga…

Read More