Mgombea urais Makini aahidi chakula bure kwa wanafunzi

Mbeya. Mgombea urais wa chama cha Demokrasia Makini (Makini), Coaster Kibonde amesema akipata nafasi ya kuongoza nchi, serikali yake itatoa chakula bure kwa wanafunzi wote nchini na kuifuta Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB). Amesema anahitaji kuona mabadiliko katika sekta ya elimu kwa kujenga nchi iliyo na wasomi na wajuzi wenye kujiajiri, kuajiri…

Read More

Elimu ya fedha kupitia maudhui yanayopendwa na wengi

Katika utoaji wa elimu, njia na mbinu za kufikisha ujumbe ni jambo la msingi. Zikitumika ipasavyo, husaidia maarifa kupokelewa kwa urahisi na kueleweka kwa kundi kubwa la watu kwa muda mfupi. Vilevile, katika huduma za kifedha, utoaji wa elimu unapata msisitizo mkubwa kutokana na mabadiliko makubwa yanayoendelea katika sekta hii. Ikiwa elimu ya fedha itafungamanishwa…

Read More

KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS DK.SAMIA ZILIVYOMRUDISHA HARMONIZE KWA DIAMOND AKIIMBA NAMLETA RAIS…

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Ruangwa MWANAMUZIKI maarufu katika muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Fleva Rajabu Ibrahim maarufu Harmonize leo amewapagawisha wana CCM na wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi baada ya kuimba Wimbo wa Namleta Rais ambao ni wa Msanii Nassib Abdull ‘Diamond’ Kwa muda mrefu Harmonize tangu alivyoondoka Lebo ya WCB ya Wasaf inayomilikiwa…

Read More

ONYESHO LA KIHISTORIA LA KUDANSI KUFANYIKA MAKUMBUSHO

Vijana wa Dar es salaam Dances International (DDI) wakifanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi onyesho la kihistoria la kudansi lilotarajiwa kufanyika Katika Ukumbi wa Maonesho wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam (picha na Mussa Khalid) ……………. NA MUSSA KHALID Tamasha la Museum Arts Explosion  kwa kushirkiana na Dar es salaam Dances International (DDI)…

Read More

Othman aahidi kukomesha mikopo kausha damu kwa walimu Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema kuwa endapo atachaguliwa kuongoza dola ataanzisha mfuko maalumu wa maisha ya mwalimu, ili kuwaondolea  utegemezi wa mikopo yenye masharti magumu na isiyokuwa na tija kwa maisha yao. Othman ambaye ni Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, amesema hayo leo Jumanne Septemba 23,2025 katika mkutano wake wa hadhara…

Read More