MARTINA THOMAS:NYOTA YA SANAA KANDA YA ZIWA,NI MSANII WA NGOMA ZA ASILI ALIYETEKA HISIA ZA WAZUNGU

Na Mtemi Sona   Ukizungumzia sanaa ya ngoma za asili kanda ya ziwa, huwezi kuacha kumtaja mwana dada Martina Thomas. Kama wewe ni Mtazamaji, Martina akiwa jukwaani huwezi kuchoka kutazama jinsi anavyolishambulia jukwaa kwa uchezaji wake mahili na wenye kuvutia. Ni dada ambaye ameteka hisia za wapenzi wengi wa ngoma hizo hasa wazungu kutoka mataifa ya…

Read More

Usiyoyajua ziara ya Rais Samia Korea Kusini

MWEI 31 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na ujumbe mzito, alisafiri umbali wa kilomita 10,200 kutoka jijini Dar es Salaam hadi jiji la Seoul, Korea Kusini (Jamhuri ya Korea) katika juhudi mpya za kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na taifa hilo lililoendelea kiteknolojia la mashariki ya mbali.  Anaandika Gabriel Mushi … (endelea). Kwa…

Read More

Charlie Chaplin: Anaendelea kuishi kwa uchale wake

MASHAMBULIZI ya Palestina yanayofanywa na Israel yaliyoua mamia ya watu, huku zaidi ya milioni 2, wakikosa makazibaada ya nyumba zao kuharibiwa, yamewakumbusha watu wa Ulaya na Marekani alichosema msanii wa karne ya 20, Charlie Chaplin. Mchekeshaji huyu wa Uingereza aliyependwa kila pembe ya dunia aliwahi kufukuzwa Marekani kwa kauli zake za kupinga kuundwa taifa la…

Read More

Mafyatu kumkaribisha Rahis kuzindua kijiwe

Baada ya kuona kuwa inawezekana kumfyatua, sorry, kumchengua rahis hadi anazindua mangomangoma ya Hamnazoo, mafyatu tunakula mkakati kumkaribisha kuzindua kijiwe chetu cha ndumuu. Naona yule anatikisa kichwa kuwa rahis na vijiwe vya bangii, sorry, nimesema bangili wapi na wapi? Hamkumuona arap Rooter wa kwa njirani akijinoma na mchekeshaji kwa Joji Kichaka akiwatosa wake. Ama kweli…

Read More

Mafyatu kumkaribisha Rais kuzindua kijiwe

Baada ya kuona kuwa inawezekana kumfyatua, sorry, kumchengua rahis hadi anazindua mangomangoma ya Hamnazoo, mafyatu tunakula mkakati kumkaribisha kuzindua kijiwe chetu cha ndumuu. Naona yule anatikisa kichwa kuwa rahis na vijiwe vya bangii, sorry, nimesema bangili wapi na wapi? Hamkumuona arap Rooter wa kwa njirani akijinoma na mchekeshaji kwa Joji Kichaka akiwatosa wake. Ama kweli…

Read More

Samia awavuta wasanii Korea kuigiza na Watanzania

Sekta ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia watu wengi zaidi duniani.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Ahadi hiyo imetolewa na Rais wa Umoja wa Watayarishaji wa Filamu wa Korea (Korean Films Producers Association-KFPA), Eun Lee mbele ya Rais wa…

Read More

Chalamila agusia Katiba mpya, wadau wamjibu

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametaja mambo matatu anayotamani yangepewa kipaumbele kwenye Katiba mpya ikiwamo wasomi wanaomaliza vyuo bila kuwa na ajira kwa muda mrefu walipwe mshahara nusu hadi pale watakapopata ajira rasmi. Vipaumbele vingine ni wanafunzi wote wa vyuo vikuu wapewe mikopo na kusamehewa gharama za matibabu…

Read More

Ishu ya Hamisa Mobetto, Azizi Ki iko hivi

MWANAMITINDO na mwanamuziki, Hamisa Mobetto amefafanua kuhusu ukaribu wake na mchezaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki na kuzungumzia pia uvumi kwamba ana uhusiano na kigogo wa soka ambaye yupo karibu na mshindi huyo wa tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara 2023-24. Akizungumza na Mwanaspoti, Hamisa Mobetto amesema hana uhusiano na kigogo yeyote wa…

Read More