SWAHILI PLUS KUWANYANYUA WASANII WACHANGA BONGOMUVI

WASANII Washauriwa kutengeneza kazi zenye maudhui ya kiasili na kutumia lugha ya Kiswahili fasaha ili kuendelea Kutangaza lugha hiyo Kimataifa na kuvitangaza vivutio vilivyopo Tanzania zaidi. Akizungumza na wadau wa sanaa nchini wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya “Kamatia Furushi” pamoja na chaneli mpya yenye maudhui ya Filamu,katuni kwa watoto “Swahili plus” ,St Toons,St Toonie,St…

Read More

Paredi la Yanga kuanzia kwa Mkapa

KLABU ya Yanga leo imetoa ratiba ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Mei 25, mwaka huu zikiongozwa na paredi kutoka Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam hadi makau ya klabu hiyo, Jangwani. Awali Yanga iliwasilisha maombi kwa Bodi ya Ligi (TPLB) kuomba michezo miwili dhidi ya Tabora United na Tanzania Prisons kukabidhiwa…

Read More

Wanavyuo Dodoma waonja utamu wa chimbo la nyuki

  TAMASHA la Chimbo la Nyuki lililofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, limechagiza vyema shamrashamra zinazoanza za Maadhimsho ya Siku ya Nyuki Duniani huku wanavyuo mbalimbali wa Jijini Dodoma wakifurahi, maonesho mbalimbali ya bidhaa zinazotokana na Nyuki pamoja na Maonyesho ya jukwaani kutoka kwa wasanii mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).  Akizungumza…

Read More

BAISKELI YA MAMA IMEFIKA SAME

Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao (MOM) imeendelea kupokea maombi mengi kutoka kila pande ya Tanzania kutoka kwa ndugu zetu wenye uhitaji wa Baiskeli hizi. Kama Taasisi, tunapenda kutoa shukran zetu za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wasanii na Wadau mbalimbali wapenda maendeleo kwa kuhakikisha kwamba Taasisi inatimiza kile tulichoagizwa na…

Read More

MR MWANYA ATEMBELEA KIJIJI CHA NGURUWE DODOMA

Msanii mkubwa na Maarufu anayejihusisha na sanaa ya uchekeshaji hapa Nchini almaarufu Mr Mwanya ametembelea Kijiji cha Nguruwe kilichopo Zamahero Jijini Dodoma kwa ajili ya kujionea uwekezaji mkubwa unaofanywa na Mkurugenzi wa Kijiji cha Nguruwe Project Simon Mkondya Maarufu kwa jina la Mr Manguruwe. Msanii huyo pia ameweka wazi juu ya uwekezaji alioufanya katika eneo…

Read More