VIBE LA WANA MBINGA KWA DK.SAMIA SI MCHEZO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV HAKIKA wana Mbinga wana Vibe sio mchezo!Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na wingi wa wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni za mgombea urais Dk.Samia Suluhu Hassan. Dk.Samia leo anapokelewa mkoani Ruvuma kwa ajili ya kuendelea na mikutano yake na leo atatanya mikutano miwili ukiwemo wa Wilaya ya Mbinga na baadae atakuwa na…

Read More

Zitto, Baba Levo wasaka rekodi Kigoma Mjini

Kigoma. Jimbo la Kigoma Mjini ni miongoni mwa majimbo yanayoibua mjadala na kufuatiliwa na wengi kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Siku hiyo Watanzania wataamua nani atakayeshika hatamu za urais, ubunge na udiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Macho mengi yanaitazama Kigoma Mjini, ambayo pia imekuwa midomoni mwa watu ambako historia, siasa na burudani…

Read More

ZEXZY NA WIMBO WAKE MPYA HIGHER WAZIDI KUPENYA

Msanii Zexzy, anayefahamika kwa sauti yake ya kipekee na mitindo yake ya muziki inayogusa hisia, amerudi tena na kazi mpya inayotikisa anga la muziki. Kupitia wimbo wake wa hivi karibuni unaoitwa “Higher”, Zexzy ameonyesha ukuaji mkubwa wa kisanii na uwezo wa kipekee wa kuunganisha mashabiki kupitia ujumbe na mdundo wenye nguvu. “Higher” ni wimbo unaobeba…

Read More

MGOMBEA UBUNGE CCM CHATO KASKAZINI KUANZA NA SOKO KUU

Mgombea Ubunge kupitia CCM Jimbo la Chato Kaskazini akiomba kura kwa wananchi.Mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini, Mwl. Cornel Magembe,akiomba kura kwa wananchi wa Jimbo hilo. …….. MGOMBEA Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwl.Cornel Magembe, ameahidi kuanza na ujenzi wa soko kuu la wilaya ya Chato mkoani Geita iwapo atachakuguliwa…

Read More

Wiki ya Wananchi, kishindo cha vaibu

KILELE cha wiki ya Mwananchi kimehitimishwa kwa kishindo, huku kila shabiki akitoka meno nje akitamba mambo freshi na msimu mpya uanze. Yanga ilifanya tamasha hilo leo ambapo kilele chake kilikuwa palepale Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na mashabiki wa klabu hiyo kufurika kwa wingi. *Vinywaji kibao*Mapema tu ilikuwa mashabiki wakiwa wanaingia uwanjani,…

Read More

Saa moja ya Zuchu jukwaani kwa Mkapa

Takriban saa nzima ya Zuhura Othuman maarufu Zuchu katika tamasha la Wiki ya Mwananchi imetosha kutoa burudani ya aina yake kabla ya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Bandari FC. Zuchu ametumia majukwaa manne tofauti akiimba nyimbo zake zaidi ya sita, huku akimrudisha jukwaani kwa mara ya pili D Voice kuimba naye…

Read More

Shoo ya D Voice bab’kubwa

MSANII wa singeli kutoka lebo ya WCB, alimaarufu D Voice baada ya kupanda jukwaani kutumbuiza katika tamasha la Wiki ya Mwananchi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, ameamsha shangwe la mashabiki ambao wameonekana kupenda anachofanya. D Voice alikuwa anaimba wimbo huku akitumia staili ya kuwagandisha mashabiki kisha wanaanza kucheza tena. Utumbuizaji wake umeamsha shangwe…

Read More

Kwa Mkapa ‘full house’ | Mwanaspoti

Baada ya kusuasua kuingia uwanjani mashabiki wa Yanga hadi saa 10:45 Uwanja wa Mkapa ulikuwa umejaa (full house), kutokana na mafuriko ya mashabiki. Licha ya burudani kuanza mapema uwanja ulikuwa na mapengo, lakini hadi kufikia muda huo mashabiki walikuwa wamejaa na kuendelea kuburudika na burudani. Pamoja na uwanja kuonekana kujaa mashabiki wa Yanga wanaonekana kuendelea…

Read More

Dogo Paten aibua shangwe kwa Mkapa

Msanii wa Singeli maarufu kama Dogo Paten ameibua shangwe kwa mashabiki baada ya kupata nafasi ya kutumbuiza saa chache baada ya mchezo wa kwanza wa ufunguzi ambapo Yanga Orincess imecheza na Mashujaa Queens. Wimbo Paten wa Afande umeibua hisia kubwa na kupokewa kwa swangwe na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kwa Mkwapa katika tamasha la Wiki…

Read More