Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Burudani

  • Home
  • Burudani
  • Page 8
Burudani Michezo

Okoyo siyo soka tu hata gitaa freshi

May 3, 2025 Admin

KIUNGO wa kati wa KMC, Deusdedity Cosmas Okoyo amesema nje na kucheza soka ni mtaalamu wa kupiga gitaa linalomsaidia kumpa utulivu anapopata muda wa kupumzika

Read More
Burudani

THRDC yatoa Jacketi za usalama kwa Chama Wafanyakazi Waandishi JOWUTA

May 3, 2025 Admin

…………….. .Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa Mwandishi wetu,Dar es Saalam. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binaadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi za usalama kwa waandishi  wanachama

Read More
Burudani

SERIKALI IPO TAYARI KUSHIRIKIANA NA WAANDAAJI WA TUZO ZA INJILI- DKT. MAPANA

May 3, 2025 Admin

Serikali imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na waandaaji wa Tuzo za muziki wa injili Afrika Mashariki East Africa Gospel Awards,(EAGMA) ili kusaidia kufika mbali zaidi

Read More
Burudani

Chondechonde tusilirejeshe Taifa kwenye enzi ya giza

April 30, 2025 Admin

Aliposhika madaraka, Rais Samia Suluhu Hassan alionyesha siyo tu nia kwa maneno, bali pia kwa matendo kwa kuchukua hatua mbalimbali zilizolenga kuliponyesha Taifa. Rais Samia

Read More
Burudani

WASANII WAHIMIZWA KUTUMIA LUGHA YA KISWAHILI KIBIASHARA

April 29, 2025 Admin

  Wasanii wa filamu na maigizo nchini wametakiwa kutumia Lugha ya kiswahili kama fursa ya kibiashara kimataifa ili kuongeza tija itokanayo na filamu hizo katika

Read More
Burudani

Athari za mzazi kupuuza kipaji cha mwanawe

April 27, 2025 Admin

Katika jamii nyingi, wazazi huwa na matarajio makubwa juu ya maisha ya watoto wao. Ni jambo la kawaida mzazi kutamani mtoto wake awe daktari, mwanasheria,

Read More
Burudani

MCHENGERWA ASISITIZA KUENZI MUUNGANO, AKAGUA MIRADI, WANANCHI WAMPONGEZA RAIS SAMIA

April 26, 2025 Admin

Na Mwandishi wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa watanzania wote kuuenzi muungano ili kudumisha amani, umoja na

Read More
Burudani

WASANII 10 WANUFAIKA NA RUZUKU YA MRADI WA FEEL FREE 2025

April 24, 2025 Admin

WASANII kumi wa Tanzania na mashirika ya kitamaduni yamepokea jumla ya Sh270 milioni za ufadhili chini ya Mradi wa “Feel Free Grant 2025” kupitia mpango

Read More
Burudani

BARAZA LA SALIM: Abel da Silva ana haki ya kuenziwa

April 23, 2025 Admin

Katika miaka ya hivi karibuni, hasa kuanzia karne ya 21, mandhari ya miji ya Unguja na Pemba pamoja na maeneo jirani yamebadilika kwa kasi kubwa.

Read More
Burudani

Waziri Mkuu Azindua Mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji Kazi za Sanaa AMIS

April 22, 2025 Admin

NA MWANDISHI WETU WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amezindua Mfumo wa usimamizi na uendeshaji kazi za Sanaa AMIS ambao

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 7 8 9 … 50 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.