Dogo Paten aibua shangwe kwa Mkapa

Msanii wa Singeli maarufu kama Dogo Paten ameibua shangwe kwa mashabiki baada ya kupata nafasi ya kutumbuiza saa chache baada ya mchezo wa kwanza wa ufunguzi ambapo Yanga Orincess imecheza na Mashujaa Queens. Wimbo Paten wa Afande umeibua hisia kubwa na kupokewa kwa swangwe na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kwa Mkwapa katika tamasha la Wiki…

Read More

Nje ya uwanja nyomi | Mwanaspoti

NJE ya Uwanja wa Benjamin Mkapa mambo yameanza kunoga kwa mashabiki wa Yanga kuonekana kwa wingi wakiwa wanashuka kutoka kwenye mabasi na usafiri mwingine ili kuingia kushuhudia tamasha la kilele cha wiki ya Mwananchi. Tamasha hilo ambalo ni la saba kwa Yanga tangu lianzishwe mwaka 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Dr Mshindo…

Read More

Simba nao wamo Mwananchi Day

LICHA ya mashabiki wa Yanga kuendelea kumiminika kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kushuhudia Kilele cha Wiki ya Mwananchi, lakini wale wa Simba nao wamo kujionea sherehe hizo za watani zao. Simba ambao tamasha lao lilifanyika juzi, Jumatano, lakini baadhi ya mashabiki wa timu hiyo wameonekana wakiingia uwanjani huku wakitaja msemo wao maarufu…

Read More

‘Simba Day’ Rushine, Naby bado hawaamini

SIMBA juzi ilihitimisha shangwe la Simba Day msimu wa 17 kwa kuwapa raha Wanamsimbazi kwa burundani ya wasanii mbalimbali pamoja na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, huku baadhi ya nyota wa timu hiyo wakiwa hawaamini walichokiona Kwa Mkapa. Katika tamasha hilo lililopambwa na burudani mbalimbali ikiwamo ya muziki na mechi…

Read More

Dakika 62 tamu za Mbosso ‘Simba Day’

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More

Ilikuwa shoo ya Mbosso, Simba wakifanya yao

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More

Taifa yaimba na Mbosso | Mwanaspoti

Ni burudani tu ndani ya Uwanja wa Mkapa katika Simba Day, ambapo mashabiki wa Simba wameimba pamoja na msanii Mbosso. Mbosso ambaye ameanza kwa kuimba wimbo wake mpya wa Selemani kabla ya kuimba vigongo vyake kadhaa amewateka zaidi mashabiki kwa kuimba nao ‘live’ wimbo wake wa ‘Haijakaa sawa’ ambao aliutoa wakati yupo chini ya lebo ya…

Read More

Chino aingia na staili ya zombi 

MSANII wa Bongo Fleva na dansa maarufu, Chino Wanaman ndiye msanii wa kwanza kuburudisha kilele cha wiki ya Simba Day akiingia na staili ya zombi. Leo ni kilele cha Simba Day ambacho baadaye kitahitimishwa na burudani ya soka, Simba ikiialika Gor Mahia kutoka Kenya. Msanii huyo ameingia kusherehesha kwa Mkapa akiongozana na msanii wa singeli,…

Read More