
CCM yavuna Sh3.5 bilioni za fomu ubunge, udiwani
Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejikusanyia zaidi ya Sh3.5 bilioni kutoka kwa watia nia wa udiwani, wabunge na uwakilishi katika kinyany’anyiro cha kupata fursa za kukiwakilisha kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Leo Alhamisi, Julai 3, 2025 katika ofisi ndogo za CCM jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafuzo wa…