CCM yavuna Sh3.5 bilioni za fomu ubunge, udiwani

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejikusanyia zaidi ya Sh3.5 bilioni kutoka kwa watia nia wa udiwani, wabunge na uwakilishi katika kinyany’anyiro cha kupata fursa za kukiwakilisha kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Leo Alhamisi, Julai 3, 2025 katika ofisi ndogo za CCM jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafuzo wa…

Read More

Fyatu kutoa gari kwa kila mpika kura ya kula

Kama mjuavyo, uchakachuaji, sorry, uchaguzi mkubwa umekaribia, na ninagombea urahis na lazima nitashinda hata kama ni kwa goli la mkono kama lile na Mapepe Tunaye. Hivyo, kwa vile mie ni muwazi, naweka wazi mikakati na ukarabati wa kushinda hii kitu mapema asubuhi kama ifuatavyo: Mosi, kuanzia sasa, nitamwaga ndinga kali na za bei mbaya za…

Read More

Majimbo yenye ushindani CCM | Mwananchi

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki siku moja kukamilika kwa mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania ubunge ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ushindani mkali unatarajiwa kwenye kura za maoni katika baadhi ya majimbo yaliyowakutanisha makada wenye nguvu. Umaarufu, mvuto kwa wananchi na uzoefu wa muda mrefu ni miongoni mwa sifa zitakazowabeba baadhi…

Read More

Jangwani hapatoshi, Mbosso aipiga Aviola 

Ni shamrashamra, burudani na furaha ya aina yake katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, ambapo mashabiki kwa maelfu wamefurika kusherehekea kilele cha paredi la mataji matano, ikiwa ni hitimisho la msimu wa mafanikio kwa timu yao. Paredi hiyo ilianza mchana leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam,…

Read More

Mbosso na Aviola laivu Jangwani 

Katika makao makuu ya Yanga hapatoshi, baada ya klabu hiyo kumshusha msanii Mbwana Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso Khan. Yanga imemvuta Mbosso kuwa msanii maalum atakayetumbuiza katika kilele cha paredi la ubingwa wakati timu hiyo itakapomalizia msafara wa kutembeza mataji matano iliyotwaa msimu huu. Yanga imeshatua jijini Dar es Salaam, ikitokea Zanzibar ilipotwaa taji…

Read More