WATANZANIA MATABAKA YOTE WATAKIWA KUUNGANA KUWA WAHIFADHI ILI KUTUNZA MAZINGIRA

Watanzania maarufu na wasio maarufu waliungana jijini Dar es Salaam Jumanne kusisitiza faida muhimu za mazingira na umuhimu wa juhudi za pamoja za uhifadhi. Tukio hilo lilisisitiza kwamba bila kujali sisi ni nani au tunatoka wapi, sote tunahusiana na mazingira na ni wajibu wetu kuyatunza. Mwimbaji na mtangazaji wa Televisheni Nakaaya Sumari, waimbaji wawili maarufu…

Read More

Bangi yaendelea kuwa tishio katika dawa za kulevya

Dodoma. Bangi imeendelea kuwa tishio kati ya dawa kulevya ambazo zimekuwa zikikamatwa na Mamlaka ya Udhibiti wa dawa za kulevya.Katika kipindi cha 2024, tani 2,307.37 zilikamatwa na kati ya hizo, tani 2,303.2 ni bangi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi ametoa takwimu hizo leo Jumatatu Juni 23, 2025…

Read More

Mambo ya Kufanya Ikitokea Mpenzi Wako Kachepuka! – Global Publishers

Last updated Jun 17, 2025 MPENZI msomaji wangu, katika maisha ya kimapenzi hakuna kitu kinachouma kama kusalitiwa, tena kusalitiwa kunakouma zaidi ni pale unapobaini mpenzi wako kampa penzi mtu unayemjua halafu ukijilinganisha wewe na huyo aliyepewa unashindwa kuelewa kilichomshawishi mpenzi wako. Lakini licha ya kwamba usaliti si kitu kizuri, watu wamekuwa wakisalitiana, tena sana…

Read More

“Wanaume tumieni fimbo ndogo, siyo kubwa”

Hayo ni maneno ya mama mmoja nchini Kenya aliyekuwa akilalamikia unyanyasaji wa kijinsia nchini humo hasa matumizi ya fimbo kubwa na ngumi baina ya wanandoa. Alitoa suluhisho ambalo si wengi wangelitegemea kwa kupendekeza fimbo ndogo badala ya kubwa. Kisanii, mama yule alisema, ‘wanaume tumieni ile fimbo ndogo aliyowapea Mungu.” Kwa wanandoa, wanajua hii fimbo ni…

Read More

TAMASHA LA ZIFF KURINDIMA JUNI 25-29 ZANZIBAR

* Filamu 430 zapokelewa kutoka Nchi za Afrika, Ulaya…… Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MAANDALIZI ya Tamasha la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF,) maarufu kama Tamasha la Nchi za Majahazi msimu wa 28 kwa mwaka 2025 yamekamilika na kuelezwa kuwa litafanyika Juni 25 hadi 29 mwaka huu Ngome Kongwe Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa…

Read More