Dakika 10 za Joh Makini Simba Day

Msanii wa Hip Hop, John Simon Mseke maarufu Joh Makini amepiga shoo iliyoamsha shangwe kubwa kwaa mashabiki ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa akitumia takriban dakika 10. Joh Makini anayetambulika pia kwa jina la Mwamba wa Kaskazini, amepiga shoo hiyo katika Tamasha la Simba Day linalofanyika leo Septemba 10, 2025. Shoo ya Joh Makini ilianza…

Read More

Hakuna ‘Mungu kama wewe’ yapigwa kwa Mkapa

TAYARI kumeanza kuchangamka katika Uuwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam ambako Simba ina jambo lake leo kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day ikiwa ni sehemu ya kusheherekea miaka 89 ya klabu hiyo. Achana na mechi za awali ambazo zimechezwa, burudani zimeanza kuchukua nafasi yake hasa kuanzia saa 10:00 jioni. Ilianza kupigwa ngoma moja…

Read More

Burudani zatawala nje kwa Mkapa

ACHANA na burudani inayotarajiwa kutolewa baadaye na Simba, lakini hivi sasa nje kuna vaibu lingine linaloendelea kwenye maeneo tofauti karibu na Uwanja wa Mkapa. Leo ni kilele cha wiki ya Simba Day ambayo hutambulisha wachezaji wapya na benchi la ufundi ikitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali na mechi ya kirafiki. Kuna kikundi cha mashabiki…

Read More

Wauza jezi kicheko Simba Day

WAKATI zikisalia saa chache kuanza kwa kilele cha tamasha la Simba Day, asilimia kubwa ya mashabiki wamevalia jezi mpya ya timu hiyo, lakini wafanyabishara wa bidhaa hizo wakichekelea. Kilele cha wiki ya Simba Day ni siku ambayo hutambulisha wachezaji wapya, benchi la ufundi kitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwemo Ali Kiba, Yammi, Mbosso…

Read More

Kwa Mkapa ni  nyekundu, nyeupe 

IKIWA saa zinazidi kukatika kabla ya kuanza rasmi shughuli ya utambulisho wa nyota wapya wa kikosi cha Simba kwa msimu wa 2025-2026, ikishindikizwa na mechi ya kirafiki kati ya timu hiyo na Gor Mahia ya Kenya Kwa mMkapa kunakofanyika tamasha la Simba Day ni nyekundu na nyeupe. Rangi hizo zinazotumiwa na klabu ya Simba ndio…

Read More

Lupaso imechangamka | Mwanaspoti

WAKATI tamasha la Simba Day likifikia kilele leo, mashabiki wa timu hiyo wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo linafanyika leo likiwa ni msimu wa 17 tangu lilipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2009, chini ya uongozi wa Hassan Dalali na Mwina Kaduguda. Nje ya Uwanja wa Benjamin…

Read More

Fyatu kususia uchafuzi na uchakachuaji, sorry, uchaguzi

Sambamba na nchi zote zitakazokuwa na uchaguzi mwaka huu, hata Mafyatu, nchi ya ndotoni, itakuwa na uchuguzi karibuni. Kama mjuavyo, Fyatu niliahidi ningeshiriki na kushinda kwa kishindo tena bila kuchakachua au kuchakachuliwa kama uchaguzi ungekuwapo na si uchafuzi na uchakachuaji unaokuja soon. Naona wale wanashangaa. Hamjui fyatu anaweza kufyatuka wakati wowote? Now, why? Nafyatua kimombo…

Read More

Watoto wanawatazama na kuwafuatilia kina nani?

Dar es Salaam. Watoto ni vioo vidogo vya jamii. Wanachoona ndicho wanachojifunza, na wanachosikia ndicho wanachojaribu kuiga.  Katika zama hizi za mitandao ya kijamii na televisheni, swali kubwa la kujiuliza ni: Watoto wetu wanawatazama na kuwafuatilia kina nani?  Je, wanawafuata watu wanaojenga maadili na kuwapa ndoto za maisha bora, au wanawafuata tu wale wanaoonekana maarufu…

Read More

Adarus Walii aingiza sokoni filamu mpya “Mke wa Mama”

Na Mwandishi Wetu MUONGOZAJI wa filamu nchini Tanzania, Adarus Walii ambaye pia ni msanii, ameingiza sokoni filamu yake inayojulikana kwa jina la ‘Mke wa Mama’ hivi karibuni katika mitandao mbalimbali ya kijamii ukiwemo ‘YouTube’. Walii amewahi kutamba na filamu mbalimbali kama ‘Muuza Genge’, ‘Aisha’, ‘Namtaka Mwanangu’, ‘Bondo DSM’, ‘Slay Queens’ na ‘Mapenzi na Muziki ambazo…

Read More