Kamati Ya Bunge Yapokea Wasilisho La Miradi Ya Wizara Ya Habari
Global Publishers March 11, 2026 0 Comments Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea taarifa ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na Taasisi zake. Taarifa hiyo iliwasilishwa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma Machi 10, 2026 Bungeni Jijini Dodoma….