Dar es Salaam. Katika mfululizo wa mapitio ya hukumu ya kesi hii ya mauaji ya kukusudia iliyokuwa ikiwakabili maofisa wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara,
Category: Habari

Nairobi. Hali ni tete nchini Kenya kufuatia maandamano ya vijana wa Gen-Z walioingia mitaani leo na kufunga barabara ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku

(Kushoto) Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel ; (Kati)Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani, Waziri Mkuu wa Qatar na Waziri wa Mambo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Dr. Said Mohammed Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza

WADAU Wadau wa Kilimo katika mnyororo mzima wa thamani wameshauriwa kuchangamkia fursa za kijasiriliamali na kibiashara zilizopo katika sekta ya Kilimo kwa kutumia Teknolojia zilizofanyiwa

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania limefuta matokeo ya watahiniwa 71, wakiwemo 70 wa mtihani wa kidato cha sita na mmoja wa ualimu daraja A

Dar es Salaam. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya kukabiliana na uvujaji mafuta baharini ya Desmi Africa imekuja na teknolojia mpya kukabiliana na changamoto hiyo

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita huku ufaulu wa jumla ukiwa asilimia 99.95 kwa watahiniwa 126,135 waliofanya mtihani,

• Biashara tatu bora za FinTech zachaguliwa kutoka kwa kumi bora waliofika fainali miongoni mwa maombi 94 yaliyopokelewa • Washindi watapata zawadi ya kifedha, msaada,

Unguja. Kutokana na utandawazi kuchukua nafasi kubwa katika maisha, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka vijana na jamii kuacha kutumia lugha za kigeni katika