Bima ya Afya kwa Wote kuanza rasmi Jumatatu

Dodoma. Serikali imetangaza kuanza utekelezaji wa awamu ya kwanza ya Bima ya Afya kwa Wote (BAW), hatua inayolenga kuwaondolea mzigo wa gharama za matibabu wananchi wasio na uwezo wakiwemo wazee, watoto, wajawazito na watu wenye ulemavu, ambao gharama zao zitabebwa na Serikali. Waziri amesema Kitita cha Huduma Muhimu kwa awamu ya kwanza kitaanza kutumika Januari…

Read More

WATATU WATIWA MBARONI KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA

JESHI  la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu ambao ni Mseveni Menat, Mkazi wa Uyole, Fred Lulandala, Mkazi wa Mapelele na Joseph Ngelenge, Mkazi wa Uyole Jijini Mbeya kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya Bhangi yenye uzito wa Kilo 168. Watuhumiwa walikamatwa Januari 21, 2026 baada ya kuingia katika Stendi Kuu…

Read More