Safari Mpya ya Ushindi Na Super Heli Ya Meridianbet Imeanza
Safari Mpya ya Ushindi Na Super Heli Ya Meridianbet Imeanza – Global Publishers Home Burudani Safari Mpya ya Ushindi Na Super Heli Ya Meridianbet Imeanza
Safari Mpya ya Ushindi Na Super Heli Ya Meridianbet Imeanza – Global Publishers Home Burudani Safari Mpya ya Ushindi Na Super Heli Ya Meridianbet Imeanza
Bima Ya Afya Kwa Wote Shilingi 150,000 Kwa Kaya, Wasio Na Uwezo Kugharamiwa Na Serikali – Global Publishers Home Habari Bima Ya Afya Kwa Wote Shilingi 150,000 Kwa Kaya, Wasio Na Uwezo Kugharamiwa Na Serikali …
Katika njia isiyo ya kawaida ya siasa za kimataifa, kisiwa cha barafu kikubwa zaidi duniani cha Greenland kimevutia tena hisia kali katika ngazi ya kisiasa ya kimataifa. Si tu kwamba historia yake ya kale inazungumzia ustaarabu wa binadamu waliojifunza kuishi katikati ya baridi kali, bali leo hii kisiwa hiki kimekuwa kitovu cha mjadala mkali wa…
Marekani Yajiondoa Rasmi WHO, Trump Atekeleza Amri ya 2025 – Global Publishers Home Afya Marekani Yajiondoa Rasmi WHO, Trump Atekeleza Amri ya 2025
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Awasili Mwanza, Kuzindua na Kukagua Miradi – Global Publishers Home Habari Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Awasili Mwanza, Kuzindua na Kukagua Miradi
Dodoma. Serikali imetangaza kuanza utekelezaji wa awamu ya kwanza ya Bima ya Afya kwa Wote (BAW), hatua inayolenga kuwaondolea mzigo wa gharama za matibabu wananchi wasio na uwezo wakiwemo wazee, watoto, wajawazito na watu wenye ulemavu, ambao gharama zao zitabebwa na Serikali. Waziri amesema Kitita cha Huduma Muhimu kwa awamu ya kwanza kitaanza kutumika Januari…
Watendaji Kituo Cha Uokozi Mwanza Watakiwa Kutoa Huduma Za Dharura Kwa Saa 24 – Global Publishers Home Habari Watendaji Kituo Cha Uokozi Mwanza Watakiwa Kutoa Huduma Za Dharura Kwa Saa 24
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Prof. Neema Mori, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Abdulmajid Nsekela, kwa pamoja wakizindua rasmi Ofisi ya Uwakilishi ya Benki ya CRDB Dubai. Hafla hiyo ilifanyika jana katika ukumbi wa…
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu ambao ni Mseveni Menat, Mkazi wa Uyole, Fred Lulandala, Mkazi wa Mapelele na Joseph Ngelenge, Mkazi wa Uyole Jijini Mbeya kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya Bhangi yenye uzito wa Kilo 168. Watuhumiwa walikamatwa Januari 21, 2026 baada ya kuingia katika Stendi Kuu…
WATUHUMIWA wawili, Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam na Seleman Juma Ally (32), raia wa Msumbiji, Januari 22, 2026, wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya skanka. Akisoma maelezo ya awali ya shtaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi…