KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI

Na Farida Mangube, Morogoro Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima watahamasika kulima kilimo cha kisasa kinachojali mazingira kwa kutumia teknolojia mahiri zinazowezesha uzalishaji mkubwa kwenye eneo dogo katika kipindi ambacho mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuathiri sekta ya kilimo nchini. Kauli hiyo…

Read More

Serikali yapiga marufuku askari wa majiji kuwanyang’anya wafanyabiashara bidhaa zao

Dodoma. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameyaagiza majiji yote nchini kuacha mara moja vitendo vya kuwanyang’anya wafanyabiashara wadogo bidhaa zao wanazouza mitaani, kwani ndiyo ofisi na mitaji yao ya kujikomboa kimaisha. Aidha ameagiza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kufanya tathmini ya wafanyabiashara waliopo  kwenye masoko ya jiji hilo na kama bado kuna uhitaji watafute maeneo…

Read More

Jamhuri bado inachunguza kesi ya uhaini inayomkabili Mkangara

Dar es Salaam. Mshtakiwa Nasrim Mkangara anayekabiliwa na kesi ya uhaini katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ataendelea kubaki rumande hadi Desemba 22, 2025 kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kutokukamilika. Pia, shtaka la uhaini linalomkabili halina dhamana kwa mujibu wa sheria. Leo, Jumatatu Desemba 8, 2025 wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling’i ameieleza Mahakama hiyo…

Read More

NAIBU WAZIRI WA NISHATI APONGEZA TPDC KWA JITIHADA ZA UENDELEZAJI WA NISHATI YA MAFUTA NA GESI ASILIA

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amekutana na Uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kuwapongeza kwa jitihada wanazoendelea kufanya katika utafutaji na uendelezaji wa rasilimali za mafuta na gesi asilia nchini. Mkutano huo umefanyika tarehe 8 Desemba, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa TPDC jijini Dar es Salaam, ukiwa na…

Read More

Spika Zungu ataka huduma ya viungo bandia ipewe kipaumbele

Dar es Salaam. Spika wa Bunge la Tanzania, Azzan Zungu, ameitaka Serikali kuweka mkazo katika huduma ya miguu bandia ili kuwasaidia wahitaji wenye ulemavu nchini. Amesisitiza haja ya kuendeleza huduma hata baada ya wataalamu wa nje wanaotoa huduma hizo kuondoka nchini. Wito huo ameutoa leo Jumatatu, Desemba 8, 2025 alipofanya ziara katika kambi maalumu ya…

Read More

Hospitali, vituo vya afya marufuku kuzuia maiti

Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameziagiza hospitali zote nchini kuanza rasmi utekelezaji wa agizo la kutozuia maiti, huku akitoa maagizo kwa viongozi wa hospitali na taasisi zilizo chini ya wizara yake. Amesema hakuna Mtanzania atakayeshindwa kutibiwa kwa sababu ya kukosa fedha, wala ndugu watakaonyimwa mwili wa mpendwa wao kwenda kuzika. Mchengerwa amesema…

Read More

IPU yaridhishwa maandalizi ya mkutano mkuu Tanzania, Dk Tulia…

Dar es Salaam. Wajumbe wawakilishi kutoka Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) wameridhishwa na maandalizi ya Tanzania kuelekea mkutano mkuu wa umoja huo. Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa IPU utakaofanyika Oktoba 2026 ukijumuisha wajumbe kutoka mataifa mbalimbali wanachama wa umoja huo. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu, Desemba 8, 2025, katika kikao kazi cha mabalozi wawakilishi…

Read More