Majonzi mwili wa Naomi ukipatikana katika mazingira tata

Iringa. Majonzi mazito yametanda katika familia moja mjini Iringa baada ya kupatikana kwa mwili wa Naomi Kivamba (13) aliyekuwa akisoma darasa la saba Shule ya Msingi Njiapanda aliripotiwa kupotea ghafla nyumbani kwao kabla ya kupatikana akiwa amefariki dunia. Ndani ya nyumba ya familia hiyo kulikuwa na hali ya huzuni iliyochanganyika na mshangao, huku watu wakikusanyika…

Read More

KATIBU MKUU CCM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Utawala Bora kwa viongozi na watendaji waandamizi wa Chama yanayofanyika katika Ukumbi wa Mount Royal, Mkoani Iringa. Mafunzo hayo ya siku nne yameandaliwa na Jitegemee Holdings Company Limited (JHCL) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi…

Read More

WATALAAM WA FEDHA SADC WAJADILI VYANZO VYA KUONGEZA BAJETI

::::::::: Kikao cha Kamati ya Fedha cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kinafanyika jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 09,  2026 kujadili hali ya fedha ya jumuiya hiyo muhimu katika mtangamano wa kikanda kusini mwa Afrika.  Watalaamu wa masuala ya fedha na bajeti kutoka Tanzania, wakiongozwa na Kamishna wa Fedha za Nje  katoka Wizara…

Read More

TADB YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM ZANZIBAR

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) leo Machi 9, 2026 imetembelea watoto wenye mahitaji maalum katika vituo viwili vya kulelea watoto Zanzibar kwa lengo la kuwafariji na kuwaunga mkono katika kipindi hiki cha mfungo mtukufu wa Ramadhani. Katika ziara hiyo, benki ilifika katika Kituo cha ZASO Children Home kilichopo Fuoni Mambo Sasa ambacho kina…

Read More