
Tucasa yasisitiza uanzishaji wa sheria malipo ikitaja faida kiuchumi
Dar es Salaam. Ili kukabiliana na ucheleweshaji wa malipo ya wakandarasi ambacho kimekuwa kilio cha muda mrefu, Chama cha Umoja wa Makandarasi na Watoa Huduma Tanzania (Tucasa) kimependekeza kutungwa kwa sheria ya malipo (Sopa) itakayozibana taasisi kulipa madeni kwa mujibu wa mkataba. Mbali na kulipa madeni pia sheria hiyo imetajwa kuwa kichocheo chai mchango wa…