Cheza Aviator na Ujishindie Samsung A25 na Meridianbet

MABINGWA wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wameleta furaha kubwa kwa wateja wao. Kupitia mchezo maarufu wa kindege cha Aviator, sasa unaweza kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 huku ukiendelea kuingiza faida ya pesa. Hii si promosheni tu, bali ni fursa ya kipekee ya kuongeza msisimko wakati wa kucheza. Mchezo wa…

Read More

Chaumma yazidi kuchanja mbuga yaingia Kilimanjaro

Kilimanjaro. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, ameendelea na kampeni zake baada ya kuhitimisha ziara ya siku tatu mkoani Tanga na apiga hodi Kilimanjaro, akilenga kuwashawishi wapigakura milioni 37.6 waliojiandikisha kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katika uchaguzi huo unaosimamiwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi…

Read More

ORYX GAS YATANGAZA KUDHAMINI CHAMA CHA SKAUTI NCHINI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI YA KUPIKIA KATIKA MAKAMBI YAO

Na Mwandishi Wetu,Dodoma KMAPUNI ya Oryx Gas Tanzania imesema inajivunia kutangaza rasmi udhamini wake wa kambi ya Skauti Tanzania, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuendeleza vijana, kulinda mazingira, na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini sambamba na kutoa mitungi ya gesi 260 makubwa na madogo kwa Chama hicho. Akizungumza leo Septemba…

Read More

AFYA YA AKILI YASISIMUA MAAFISA MIPANGOMIJI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Maafisa Mipangomiji wanaoshiriki kikao kazi cha siku tatu mkoani Arusha wamejikuta katika msisimko wa hali ya juu kutokana na mada ya namna ya kulinda afya ya akili na umuhimu wa akili hisia katika maeneo ya kazi iliyowasilishwa wakati wa kikao hicho. Mada hiyo iliyowasilishwa na daktari bingwa mbobezi wa figo…

Read More