KASI YA MRADI WA EACOP YAPONGEZWA NA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI
:::::::::; 📌*Mradi wafikia asilimia 81 huku uchomeleaji wa mabomba ukikamilika kwa asilimia 100* Watumishi kutoka Wizara ya Nishati wamepongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ambao umefikia asilimia 81 huku ukifungua fursa nyingi kwa wananchi ikiwemo upatikanaji wa ajira na ujuzi.. Akizungumza Februari 27, 2026, Chongoleani, Tanga,…