Kamishna: Nidhamu, uadilifu ni msingi wa polisi

Morogoro. Jumla ya askari 785 wa Jeshi la Polisi wamehitimu mafunzo ya uongozi mdogo katika Chuo cha Maofisa wa Polisi Kidatu, huku wahitimu hao wakitakiwa kuzingatia haki za binadamu, nidhamu na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao ya kazi. Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyowahusisha askari wa vyeo vya Sajini Meja (SM), Sajini Staff (SSGT) na…

Read More

Moshi yapendekeza halmashauri mpya ya Vunjo

Dar es Salaam. Kikao maalumu cha ushauri (DCC) Wilaya ya Moshi kimepitisha mapendekezo mawili ya kuanzishwa kwa halmashauri mpya ya Vunjo na kupandishwa hadhi kwa barabara mbili za wilaya kuwa za mkoa. Mapendekezo hayo yamekuja baada ya ziara ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi akisisitiza maboresho ya kiutendaji na…

Read More

Kardinali Pengo alivyoagwa Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Nyuso zenye huzuni zimetamalaki katika Kanisa Kuu Katoliki la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam, ambapo mamia ya waombolezaji wamejitokeza katika misa takatifu ya kumwombea na kumuaga hayati Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo. Kardinali Pengo (82) alifariki dunia Februari 19, 2026 akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), mazishi yake…

Read More

NEC ya kufumua sekretarieti CCM yasogezwa

Dar/Dodoma. Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa CCM kilichopangwa kufanyika Jumamosi, Februari 28, 2026, kimeahirishwa. Taarifa za ndani ya chama hicho ambazo si rasmi zimebainisha kuwa kikao hicho kimesogezwa mbele hadi Machi 10, 2026, kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi. Hata hivyo, taarifa zingine za zimedai kuwa awali mkutano huo ambao unaalezwa moja ya…

Read More

ALIPWA FIDIA YA SH. 7M KWA KUHARIBIWA JIKO, UKUTA

*Ni baada ya kueleza kero yake kwa Waziri Mkuu JITIHADA za Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba kusikiliza kero za wananchi zimezaa matunda ambapo mkazi wa Kata ya Baraa jijini Arusha, Bi. Agnes Simon Laizer alilipwa fidia ya sh. milioni 7 na mmiliki wa shule ya Nariva Hill (jirani yake) ambaye alikuwa ameharibu jiko na ukuta…

Read More