Kardinali Rugambwa Aongoza Makardinali Kutolewa Heshima za Mwisho Mwili wa Pengo

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, amewaongoza makardinali wenzake kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Mwadhama Polycarp Pengo, aliyekuwa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Katika tukio hili la kihistoria, Kardinali Rugambwa aliongozana na Fridolin Cardinal…

Read More

Othman: Mazungumzo kutafuta mwafaka Zanzibar yamepiga hatua

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema kuna hatua kubwa ya mafanikio kuhusu mazungumzo ya kisiasa ya kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo Zanzibar. Vyama vya ACT- Wazalendo na Chama cha Mapinduzi (CCM) vipo katika mazungumzo ya kutafuta mwafaka wa kisiasa baada ya uchaguzi wa Oktoba 29,2025, uliolalamikiwa na chama hicho kikuu cha…

Read More

UWAJIBIKAJI, UAMINIFU NGUZO YA BIASHARA DODOMA

  KATIBU Tawala Msaidizi Sehemu ya Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Dodoma Bi.Mwajabu Nyamkomora,akizungumza  wakati akifungua semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Baraza la Ushindani (FCT) kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma yaliyofanyika leo Februari 27,2026 jijini Dodoma. …… KATIBU Tawala Msaidizi Mkoa wa Dodoma, Mwajabu Nyamkomora, amesema uwajibikaji na uaminifu ni…

Read More

EWURA NA MISA TANZANIA WAUNGANISHA NGUVU KUIMARISHA UANDISHI WA HABARI ZA NISHATI NA MAJI

Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki, Lorivii Long’idu, akifungua warsha ya tathmini ya kuwajengea uwezo wahariri na waandishi wa habari kuhusu majukumu ya EWURA. Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki, Lorivii Long’idu, akifungua warsha ya tathmini ya kuwajengea uwezo wahariri na waandishi wa habari kuhusu majukumu ya EWURA. Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki, Lorivii…

Read More

Wanawake waitwa kupata msaada kuhusu ardhi

Dar es Salaam. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imewaita wanawake wote kwenye kliniki maalumu ya ardhi ‘Samia Ardhi Kliniki’ ili kupata msaada wa kitalaamu kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu ardhi. Naibu katibu mkuu wa wizara hiyo, Lucy Kabyemera amesema Samia Ardhi Kliniki itaanza Machi 2 hadi 7, 2026 katika mikoa yote 26 ikiwa…

Read More

Tanzania yaeleza utayari mwenyeji wa mkutano IPU Arusha

Dar es Salaam. Bunge la Tanzania limetia saini makubaliano ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa 153 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2026 jijini Arusha. Utiaji saini huo pia umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Bunge na Serikali wakiwamo Rais wa IPU ambaye pia ni Spika mstaafu Dk Tulia Ackson, Naibu Waziri wa…

Read More

DPP amfutia kesi Tumaini aliyedaiwa vitu vya Sh1.5 bilioni

‎Dar es salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi na kumuachia huru, mshtakiwa Tumaini Moshi (33) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini ( DPP), kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yake. Mshtakiwa huyo alikuwa anakabiliwa na shtaka moja la unyang’anyi wa kutumia silaha…

Read More