JMAT YAIMARISHA AMANI MWANZA, YAPANDA MITI ZAHANATI YA POLISI
:::::::::::::: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh. Alhaji Mussa Salum, amewasili mkoani Mwanza leo Februari 26, 2026, na kufanya ziara katika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza. Akiwa ofisini hapo, amepokelewa na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, SACP Gideon Msuya, kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa,…