Grayson Msingwa: Hatutavumilia Matumizi Mabaya ya Usajili wa Meli – Video

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Msemaji wa Serikali, Grayson Msingwa Serikali imethibitisha kuwa meli iliyokamatwa nchini El Salvador ilikuwa imesajiliwa Tanzania kupitia upande wa Zanzibar, huku ikieleza kuwa tayari hatua za kisheria na kiutawala zimechukuliwa. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Serikali, Grayson Msingwa, amesema tukio hilo lisitumike kuichafua nchi kwani meli…

Read More

Hii hapa ratiba ya mazishi ya Kardinali Pengo

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam limetoa ratiba ya mazishi ya aliyekuwa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo kuu Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo yakitarajiwa kufanyika  Jumamosi Februari 28, 2026, jijini Dar es Salaam. Kardinali Pengo alifariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete alikokuwa…

Read More

CCM yashinda kiti cha udiwani Shiwinga

Mbozi. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani wa Kata ya Shiwinga Jimbo la Mbozi mkoani Songwe, baada ya mgombea wake, Menard Mzumbwe kupata kura 5,030 kati ya kura halali 5,210 zilizopigwa. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Februari 26, 2026. Akitangaza matokeo rasmi msimamizi wa uchaguzi wa Kata ya Shiwinga,…

Read More

Meridianbet Na Burudani Mpya ya Kidijitali Kupitia Aspect Gaming & Superspade Games

KATIKA ulimwengu ambao teknolojia inaamua mwelekeo wa burudani, Meridianbet imeendelea kuonesha kwa vitendo kuwa iko hatua moja mbele ya ushindani. Kupitia mkakati wake wa kushirikiana na wabunifu wakubwa wa michezo duniani, Meridianbet inaleta mapinduzi katika sekta ya kasino mtandaoni kwa kuwapa wachezaji uzoefu wa kisasa, salama na wenye msisimko wa hali ya juu. Kupitia ushirikiano…

Read More