Wikiendi Ya Moto Ulaya: Timu Kubwa Zarejea Majukani Kusaka Alama Tatu
Wikiendi Ya Moto Ulaya: Timu Kubwa Zarejea Majukani Kusaka Alama Tatu – Global Publishers Home Michezo Wikiendi Ya Moto Ulaya: Timu Kubwa Zarejea Majukani Kusaka Alama Tatu
Wikiendi Ya Moto Ulaya: Timu Kubwa Zarejea Majukani Kusaka Alama Tatu – Global Publishers Home Michezo Wikiendi Ya Moto Ulaya: Timu Kubwa Zarejea Majukani Kusaka Alama Tatu
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka,akizungumza katika Ibada ya Jumamosi katika Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Njombe Mjini. Na Mwandishi Wetu, Njombe Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka, amewataka vijana wa kizazi kipya (Gen-Z) na wananchi kwa ujumla kuimarisha mshikamano na kuilinda amani ya Tanzania, akisisitiza kuwa ndiyo nguzo muhimu ya…
Dodoma. Huenda umewahi kukutana na mtu anayefanya kitu kwa umahiri mkubwa lakini bado anakuwa na wasiwasi. Huenda wewe ni mmoja wao. Unafanya kitu vizuri tu lakini bado unahisi hujafanya kama ulivyotarajiwa kufanya. Muda wote unajihisi kama umepungua. Hakuna sifa unayoweza kupewa na ukaipokea. Huamini kuna jema unaweza kulifanya. Kutojiamini, kwa muktadha wa makala haya,…
Dar es Salaam. Ni ukweli kwamba wako wanawake wengi wanaoona kuwa kuzaliwa warembo ni baraka na neema ya kipekee. Mara nyingi huzingatiwa kuwa watu wenye mvuto, wanaovutia macho ya wengi na wanaopewa nafasi ya kwanza katika makundi mbalimbali ya kijamii. Hata hivyo, pamoja na baraka hii ya uzuri unaoonekana kwa nje, uko upande mwingine wa…
Mwanza. Katika zama hizi ambapo takwimu za kuvunjika kwa ndoa zinazidi kupanda, mijadala kuhusu nini kimetokea kwenye misingi ya familia imekuwa mingi, lakini wachache wanagusia chanzo kikuu cha kukosekana kwa nguvu ya maombi ndani ya ndoa. Viongozi wa dini na wataalamu wa masuala ya kijamii wanasema, ndoa nyingi zimepoteza ladha ya kiroho na kugeuzwa kuwa…
Dar es Salaam. Katika siku za hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kumeibuka mjadala kuhusu misemo mbalimbali wahenga. Mjadala huo unatokana na namna ambavyo kizazi cha sasa maarufu Gen-Z kinavyotafsiri misemo hiyo ya wahenga kwa maana tofauti na iliyokusudiwa na wazee. Kwa mujibu wa Kamusi Kuu ya Kiswahili toleo la pili mhenga ni mtu mwenye…
Na John Bukuku – Dar es Salaam Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa Wadau Madale Group uliofanyika Desemba 6, 2025 Jijini Dar es Salaam, kutoa wito wa mshikamano na ushirikiano miongoni mwa wanachama, akisisitiza kuwa ndiyo nguzo ya mafanikio ya kikundi. Amesema kuwa…
Mwanza. Ulishawahi kujiuliza, ukifikisha umri wa miaka 60 au zaidi, nini hasa utakitegemea ili kuishi maisha yenye furaha, afya na utulivu wa moyo? Wengi hudhani familia, watoto au marafiki wa karibu ndio msaada wa uhakika uzeeni. Lakini kwa kiuhalisia, kadri miaka inavyosonga mbele, hali za maisha hubadilika. Uhusiano unapoa, watoto hujishughulisha na maisha yao, na…
Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama ‘nchi Inayoongoza duniani kwa utalii wa safari’ katika hafla ya fainali za World Travell Awads 2025. Tanzania imetunukiwa taji hili adhimu katika sekta ya utalii duniani wakati wa hafla ya 32 ya World Travel Awards (WTA 2025), iliyofanyika katika Ukumbi wa Exhibition World Center nchini Bahrain Desemba…
Dar es Salaam. Katika jamii ya leo, tunashuhudia kizazi cha vijana wa kiume kinachokua bila mwelekeo wa kweli wa uanaume. Wengi wao wamekosa misingi ya uwajibikaji, ujasiri na bidii kama nguzo muhimu zinazomfanya mwanaume awe nguzo ya familia na jamii. Ni wakati sasa wazazi, walimu, na viongozi wa dini wafufue jukumu la kuwaandaa watoto wa…