Profesa Mahalu afariki dunia, aacha historia

Dar es Salaam. Profesa wa sheria na mwanadiplomasia nguli, Profesa Costa Mahalu (77) amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha Profesa Mahalu amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alikokuwa akipatiwa matibabu. Hadi anafariki dunia, Profesa Mahalu alikuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu St Augustine akiendelea kutoa elimu ya sheria. …

Read More

Wizara yasisitiza tahadhari ya mafua makali, Uviko19

Dar es Salaam.  Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kufuatia kuendelea kwa ongezeko la mafua makali na Uviko19, ikitahadharisha kuwa hali hiyo itaendelea hadi kipindi cha Aprili na Mei, 2026. Februari 25, 2026, Wizara ilitangaza rasmi kuwepo kwa mlipuko huo, ikiwataka wananchi kuchukua hatua za kinga ili kudhibiti maambukizi….

Read More

Profesa Wa Sheria, Mwanadiplomasia Costa Mahalu Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 77

Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments   Profesa wa sheria na mwanadiplomasia, Costa Mahalu (77), amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha kuwa Profesa Mahalu amefariki leo Jumatatu, Machi 9, 2026, katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), alipokuwa akipatiwa matibabu. Profesa Mahalu alitambuliwa kama msomi mahiri, mwalimu mwenye bidii na mwanadiplomasia mwenye…

Read More

Kihongosi awapigania wafanyabiashara Bariadi | Mwananchi

Bariadi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaka wafanyabiashara walioondolewa katika eneo ambalo ujenzi wa soko kuu la Wilaya ya Bariadi unaendelea kupewa kipaumbele ujenzi utakapokamilika. Pia, ametoa maagizo mawili kwa mkandarasi anayejenga soko hilo, akitaka ujenzi ukamilike ndani ya muda wa mkataba, Februari 3, 2027 na pia…

Read More