
Vijana Mbeya Kunufaika na Ajira za Viwanda Vipya – Global Publishers
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuanzisha kongani za viwanda mkoani Mbeya ili kuongeza thamani ya mazao, kuzalisha ajira na kuinua kipato cha vijana. Akiwa Mbeya Mjini Septemba 4, 2025, Samia pia ameahidi kujenga daraja Mwanjelwa, kuweka taa za barabarani Ilomba, Meta na…