MAKAMU WA PILI AFUNGUA SEMINA YA WABUNGE, ASISITIZA UWAJIBIKAJI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni(kushoto) akiteta jambo na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla kabla ya kufungua Semina kwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Zanzibar kuhusu Mfuko wa Jimbo, iliyofanyika Zanzibar, Februari 26, 2026. Na Mwandishi Wetu Unguja: Makamu wa…